Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Future amchana Ciara, adai anapenda kutawala wanaume

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Future amemchana baby mama wake, Ciara kwa kudai kuwa muimbaji huyo amekuwa na tabia za kutaka kutawala wenzake na amekuwa akimzuia kumuona mtoto wao wa kiume mwenye mwaka mmoja.

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Rapper huyo ametumia Twitter kutoa malalamiko yake ambako anadai amekuwa akitoa $15,000 kwaajili ya matunzo ya mtoto.

0103-future-tweets-3

Amedai kuwa amekuwa mkimya kwa mwaka mzika na kwamba sasa uvumilivu umemshinda na anamtaka mwanae.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Future kumshambulia Ciara kwenye Twitter… kambi ya Ciara haijamuacha bure!

Mvutano kati ya Future na Ciara juu ya malezi ya mwano, ‘Baby Future’ umezidi kuwa mkubwa, baada ya Future kumshambilia vikali Ciara, kambi ya Ciara haijakaa kimya wao pia wameongea na kueleza upande wao wa stori. Kwa mujibu wa mtandao wa E!News wa Marekani, kambi ya Ciara imepinga tuhuma za Future kupitia page yake ya […]

The post Baada ya Future kumshambulia Ciara kwenye Twitter… kambi ya Ciara haijamuacha bure! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mtanzania

Future amshambulia Ciara

futureNEW YORK, MAREKANI

MSANII wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Nayvadius Wilburn ‘Future’, amemshambulia mpenzi wake wa zamani, Ciara kwa malezi mabaya ya mtoto wao.
Wawili hao walifanikiwa kupata mtoto wa kiume ambaye walimpa jina la Future Zahir, wakati wa uhusiano wao, lakini baada ya kutengana mtoto huyo akawa anaishi na mama yake ‘Ciara’ ila Future ameonekana kuchukizwa na malezi ya mama huyo kwa mtoto wake.
“Najua mwanangu anateseka kukaa na mama yake, hafundishwi maadili mazuri...

 

11 years ago

GPL

OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO

Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. MBUNGE wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye, amemchana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hivi punde bungeni kuwa…

 

9 years ago

MillardAyo

Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano!

Imepita mwaka mmoja na nusu toka Ciara na Future wamkaribishe duniani mtoto wao wa kiume ‘babyfuture’ lakini pengine mwaka huu wa 2016 unaweza kuwa mwaka mgumu kwa staa wa muziki wa R&B, Ciara! Baada ya ukimya juu ya mvutano unaohusiana na mtoto wao, Future ameonekana kuchoshwa na mambo hayo na hivyo kumwambia Ciara ajiandee kwani […]

The post Future kuanzisha vita na Ciara? Amshambulia kwenye hizi tweets tano! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Bongo5

Future alikuwa akichepuka na ‘stylist’ wake, Ciara adaiwa kuvunjwa moyo ‘mno’

Ciara anadaiwa kuvunjika moyo kupitia kiasi baada ya kubaini kuwa baba wa mwanae na mchumba wake Future alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanamke mwingine. Mbaya zaidi ni kuwa Future anadaiwa kuwa na uhusiano na stylist wake, Tyrina Lee. Chanzo kimoja kimeiambia E! News kuwa tangu kuachana na Future, Ciara ameamua kukaa ndani mara nyingi […]

 

10 years ago

GPL

MAINDA ADAI KUKIMBIWA NA WANAUME

Brighton Masalu Mwigizaji wa kitambo Bongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kutokana na muonekano wake wa ‘usiriaz’, imekuwa ni kinga imara inayosababisha kukimbiwa na wanaume wakware. Akizungumza na Amani, Mainda aliyewahi kuripotiwa kutoka na mwigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alisema wakati mwingine wanaume huangalia ‘hali ya hewa’ kwa mwanamke kabla ya kumfuata na kumueleza mambo ya...

 

11 years ago

Bongo5

Martin Kadinda adai kukutana na changamoto ya wanaume wanaomtaka kimapenzi wakidhani ni shoga

Mbunifu wa mavazi nchini, Martin Kadinda amesema kuwa amekuwa akikutana na changamoto kutoka kwa wanaume wengi wanaodhani kuwa yeye ni shoga na kufikia hatua ya kumtumia ujumbe wa kumtaka kimapenzi. “Kila mtu anakuwa na maswali yake anaya-raise kutokana na anacho kifikiria katika akili yake, Watanzania tunatabia ya ku-create situation katika akili zetu halafu we want […]

 

9 years ago

Habarileo

Shein: Magufuli anapenda ushirikiano

MGOMBEA urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM, Dk Ali Mohamed Shein, amesema mgombea urais wa chama hicho wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli, mbali na uchapakazi wake, ni mtu anayependa ushirikiano.

 

9 years ago

Bongo5

Isha Mashauzi anapenda kufanya kazi na Cassim

Isha Bomba

Muimbaji wa Taarab, Isha Mashauzi aka ‘Queen of the Best Melodies’ amesema ana hamu ya kumshirikisha muimbaji wa ‘Subira’ Cassim.

Isha Bomba

Akiongea na Clouds E ya Clouds TV, Isha alisema anakubali utunzi wa muimbaji huyo.

“Wasanii wengi wa Bongo Flava ni wakali lakini kwa mimi ningependa sana kufanya kazi na Cassim Mganga kwani ni msanii ambaye namkubali sana,” alisema.

Hivi karibuni kiongozi huyo wa Mashauzi Classic alizindua albamu yake mpya, ‘Sura Surambi.’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!!...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani