Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO

Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. MBUNGE wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye, amemchana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hivi punde bungeni kuwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika

Kamati ya wabunge wa CCM imempitisha kwa kauli moja mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai kugombea uspika wa Bunge kwenye uchaguzi unaofanyika leo.

 

11 years ago

Habarileo

Dk Huviza, Ole-Medeye waula bungeni

MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Goodluck ole-Medeye (CCM) na Mbunge wa Viti Maalum, Dk Terezya Huviza (CCM) jana walichaguliwa kuwakilisha Bunge katika taasisi mbili tofauti.

 

10 years ago

Michuzi

Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake

 Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi...

 

10 years ago

Michuzi

MH. GODLUCK OLE MEDEYE ATOA MISAADA JIMBONI KWAKE


Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi waliothiriwa na mafuriko jimboni kwake.


Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha Godluck Ole Medeye atoa misaada jimboni kwake

1

Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

2

Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

3

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya...

 

9 years ago

Bongo5

Future amchana Ciara, adai anapenda kutawala wanaume

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Future amemchana baby mama wake, Ciara kwa kudai kuwa muimbaji huyo amekuwa na tabia za kutaka kutawala wenzake na amekuwa akimzuia kumuona mtoto wao wa kiume mwenye mwaka mmoja.

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Rapper huyo ametumia Twitter kutoa malalamiko yake ambako anadai amekuwa akitoa $15,000 kwaajili ya matunzo ya mtoto.

0103-future-tweets-3

Amedai kuwa amekuwa mkimya kwa mwaka mzika na kwamba sasa uvumilivu umemshinda na anamtaka mwanae.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

9 years ago

Habarileo

Lema adai kama si kesi angefanya makubwa

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Arusha, Godbless Lema, amewaomba wananchi wa jiji hilo kumpa kura kwani amefanya mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kuhakikisha mapato ndani ya halmashauri yanaongezeka, licha ya kile alichodaiwa kubambikwa kesi.

 

10 years ago

Bongo5

Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma

Kutoa shilingi milioni 49,800,000 na kumkabidhi muongozaji wa video wa Afrika Kusini, Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ ni kitu ambacho Linah hakukifanya kirahisi. Linah ameiambia Bongo5 kuwa wakati anakabidhi pesa hiyo kwa director huyo aliona kama anazitoa. “Godfather tulimkabidhi $15,000 mbele ya mashahidi na baada ya hapo tukamalizia tena dola $15,000 jumla ikawa $30,000 […]

 

9 years ago

TheCitizen

Opposition settles for Medeye, Sakaya

Seven opposition party cadres have picked nomination forms to vie for the Speaker’s seat, bringing the number of candidates vying for the seat to eight.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani