OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. MBUNGE wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye, amemchana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hivi punde bungeni kuwa…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika
11 years ago
Habarileo11 Jun
Dk Huviza, Ole-Medeye waula bungeni
MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Goodluck ole-Medeye (CCM) na Mbunge wa Viti Maalum, Dk Terezya Huviza (CCM) jana walichaguliwa kuwakilisha Bunge katika taasisi mbili tofauti.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WF5B1DZ1MOo/VECKsm7lJqI/AAAAAAAGrHY/EkbLwElems0/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRF_YRUOmm4/VECKs1qQQGI/AAAAAAAGrHg/IKd_CCk0Cqo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cE-LwT2e-WA/VD_my_PCj2I/AAAAAAAADKk/celDBkufc10/s72-c/4.jpg)
MH. GODLUCK OLE MEDEYE ATOA MISAADA JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-cE-LwT2e-WA/VD_my_PCj2I/AAAAAAAADKk/celDBkufc10/s1600/4.jpg)
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi waliothiriwa na mafuriko jimboni kwake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-FIYNhDoPzVk/VD_mqb6i5jI/AAAAAAAADKU/6TyKKbXAn5U/s1600/2.jpg)
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
![](http://2.bp.blogspot.com/--98tqQkdR20/VD_mnB-ha3I/AAAAAAAADKM/-gLdBkoCLGk/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha Godluck Ole Medeye atoa misaada jimboni kwake
Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya...
9 years ago
Bongo505 Jan
Future amchana Ciara, adai anapenda kutawala wanaume
![rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2016/01/rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314-300x194.jpg)
Future amemchana baby mama wake, Ciara kwa kudai kuwa muimbaji huyo amekuwa na tabia za kutaka kutawala wenzake na amekuwa akimzuia kumuona mtoto wao wa kiume mwenye mwaka mmoja.
Rapper huyo ametumia Twitter kutoa malalamiko yake ambako anadai amekuwa akitoa $15,000 kwaajili ya matunzo ya mtoto.
Amedai kuwa amekuwa mkimya kwa mwaka mzika na kwamba sasa uvumilivu umemshinda na anamtaka mwanae.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Lema adai kama si kesi angefanya makubwa
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika jimbo la Arusha, Godbless Lema, amewaomba wananchi wa jiji hilo kumpa kura kwani amefanya mambo mbalimbali ya maendeleo ikiwemo kuhakikisha mapato ndani ya halmashauri yanaongezeka, licha ya kile alichodaiwa kubambikwa kesi.
10 years ago
Bongo507 Oct
Linah adai $30,000 walizompa Godfather kushoot video ya ‘Ole Themba’ zilimuuma
9 years ago
TheCitizen17 Nov
Opposition settles for Medeye, Sakaya