Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Huviza, Ole-Medeye waula bungeni

MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Goodluck ole-Medeye (CCM) na Mbunge wa Viti Maalum, Dk Terezya Huviza (CCM) jana walichaguliwa kuwakilisha Bunge katika taasisi mbili tofauti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ndugai, Ole Medeye kuchuana uspika

Kamati ya wabunge wa CCM imempitisha kwa kauli moja mbunge mteule wa Kongwa, Job Ndugai kugombea uspika wa Bunge kwenye uchaguzi unaofanyika leo.

 

10 years ago

Michuzi

Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake

 Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji. Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha, Mhe Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi...

 

11 years ago

GPL

OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO

Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. MBUNGE wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye, amemchana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hivi punde bungeni kuwa…

 

10 years ago

Michuzi

MH. GODLUCK OLE MEDEYE ATOA MISAADA JIMBONI KWAKE


Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi waliothiriwa na mafuriko jimboni kwake.


Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha Godluck Ole Medeye atoa misaada jimboni kwake

1

Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

2

Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.

3

Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya...

 

9 years ago

TheCitizen

Opposition settles for Medeye, Sakaya

Seven opposition party cadres have picked nomination forms to vie for the Speaker’s seat, bringing the number of candidates vying for the seat to eight.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Medeye, Huvisa waibuka kidedea

WABUNGE Goodluck ole Medeye (Arumeru Magharibi) na Terezya Huvisa (Viti Maalumu) wote CCM, wameibuka kidedea baada ya kuchaguliwa kuliwakilisha Bunge la Jamhuri katika Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu...

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu waula ngumi za kulipwa

Watanzania watatu wameteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Shirikisho la Ngumi za Kulipwa la Afrika Mashariki na Kati (ECAPBA) uteuzi uliofanyika kwenye kikao cha mabadiliko cha ECAPBA kilichofanyika hivi karibuni jijini Kigali nchini Rwanda.

 

11 years ago

Mwananchi

Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeshazawadia wateja wake zaidi ya sh 40milioni katika promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ yenye lengo la kuwazawadia wateja wake na kuongeza chachu ya soka nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani