Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’
Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeshazawadia wateja wake zaidi ya sh 40milioni katika promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ yenye lengo la kuwazawadia wateja wake na kuongeza chachu ya soka nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel

11 years ago
GPL
AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya hundi kwa Mshindi wa Promosheni ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini. Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini (kushoto) akikabidhi hundi kwa Mshindi wa… ...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania Mimi ni Bingwa
.jpg)
---------------------------- MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya anakila sababu...
11 years ago
GPL
MKUU WA JESHI LA POLISI MSTAAFU ASHINDA KWENYE PROMOSHENI YA AIRTEL TANZANIA MIMI NI BINGWA
Ofisa Uhusiano wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania, Jane Matinde, (kulia) akimpongeza mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Philemon Nathaniel Mgaya aliyejishindia shilingi milioni tano (5m/-) ikiwa ni zawadi ya wiki katika promosheni ya Mimi ni Bingwa. Makabidhiano hayo yalifanyika mwishoni mwa wiki katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam. Na Mwandishi Wetu
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP)...
11 years ago
Michuzi
MWANZA NA MBEYA WAULA NA PROMOSHENI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI



11 years ago
TheCitizen27 Jan
‘Mimi ni Bingwa’ winners leave for Old Trafford
The first batch of Airtel Mimi ni Bingwa promotion ticket winners yesterday left for a lifetime fully paid trip to Old Trafford.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
IGP mstaafu ashinda ‘Mimi Bingwa’
>Mkuu wa Polisi (IGP) mstaafu, Philemon Mgaya ameibuka mshindi wa Sh5 milioni za Airtel Tanzania kwenye promosheni ya Mimi ni Bingwa, zinazotolewa kila wiki.
11 years ago
Michuzi
Milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ kutolewa Ijumaa

KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu, imepangwa kuchezeshwa katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
"Baada ya miezi...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Washindi Mimi ni Bingwa wakabidhiwa vitita vyao
KAMPUNI ya Airtel Tanzania, juzi imewakabidhi zawadi za fedha kwa wateja wake walioibuka washindi kupitia promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ wiki hii ambapo kila mmoja ameondoka na kitita cha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania