Washindi Mimi ni Bingwa wakabidhiwa vitita vyao
KAMPUNI ya Airtel Tanzania, juzi imewakabidhi zawadi za fedha kwa wateja wake walioibuka washindi kupitia promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ wiki hii ambapo kila mmoja ameondoka na kitita cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWASHINDI WA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KWA KANDA YA PWANI WAPATIKANA NA KUKABIDHIWA VITITA VYAO PAPO HAPO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9N*ITuTuR56xGA7h88a3U3vJ7dyjw5qvah-84-UeiRCCkjlwQGtFozlJuhJqqRWcevsBW-rdW2zj1yrZfLzvDg/airtel.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2J2g04dWrSM7ktRW6BUcR6-aJkvIz0KeH93tvhfChULH5s53EAj3wqx6XL0M*K9MCAkbGNsoTo-V*bOipceiicr/BINGWA1.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwa pamoja na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJ6dVVgy*GUDelfnLEUnCS0Dk-thDFWC0F5zps4Di7fi09i39DqW5BJlnqM-mef8ZDBtN8SmE*0d3fuygIu*F1T/IMG_6234.jpg?width=750)
WASHINDI AIRTEL YATOSHA ZAIDI WAKABIDHIWA MAGARI
Mkurugenzi wa masoko wa Airtel bw. Levi Nyakundi (kushoto) akimkabidhi mmoja kati ya washindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu Omary jana katika makabidhiano yaliyofanyika katika ofisi za makao makuu ya Airtel Tanzania. Anayeshuhudia (katikati) Mkurugenzi wa wa kitengo cha Mawasiliano bi Beatrice Singano Mallaya . Airtel imekabidhi magari matatu katika hafla hiyo. Mshindi wa promosheni ya Yatosha Zaidi bi. Mwajabu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s72-c/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zao
![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s320/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wanne wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zaoNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWATEJA wanne wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, walioshinda Sh Milioni Moja kila mmoja katika bahati...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uSctjjyW6Ov-99Mur938g79VwyFSlUcoCuf2Z40pvh5r1E9xEFbgYZCZo3maOSzZe44bJSUuQ6DJ-V21r1mJOXqCx/001.APPSTAR.jpg?width=650)
WASHINDI WA SHINDANO LA APPSTAR WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mshindi wa kwanza wa shindano la AppStar tabaka la wabunifu waliobobea Roman Mbwasi akielezea jambo wakati wa shughuli ya kukabidhi zawadi kwa washindi hao iliyofanyika makao makuu ya Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki hii. Katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Abigail Ambweni, akimsikiliza kwa makini pamoja na mshindi wa kwanza katika tabaka la wabunifu chipukizi, George Machibya (kulia) Shindano hilo linaendeshwa na...
11 years ago
GPLWASHINDI WA CHEMSHA BONGO YA BRAZIL WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
Mhariri wa Gazeti la Championi Jumatano, Phillip Nkini (kulia) akimkabidhi Said Muhammed Muba zawadi yake ya dekoda na dishi. Ofisa Mauzo wa Azam TV, Shah Seffu Mrisho (kulia) akimkabidhi Allen John Muhuma zawadi ya TV na dekoda.…
9 years ago
MichuziWASHINDI WA SHINDANO LA “JIONGEZE NA MSHIKO” WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-jPrQ0ElNv88/VhehJfnPmjI/AAAAAAAH-I0/9y4armPSHXo/s640/pict%2B2%2B%25282%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania