Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson  Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati  ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson  Mmbando akiwa pamoja na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’

KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa Mpira wa mezani (Heineken Foosball) wakwea pipa kuelekea Ibiza

Washindi wa mpira wa mezani (Heineken Foosball ) Eric Ducan Lissa (Wa kwanza kushoto) na Ntoli Mwaikombo (wapili kulia) wakiwa na mizigo yao kabla kukaguliwa uwanjani JNIA tayari kwa safari ya Ibiza, hispania kuangalia live screen ya fainali za kombe la mabingwa ulaya kwenye sehemu maalum iliyotengwa na Heineken kwa ajili ya watu maalum. Wamesindikizwa na mliki wa bar ya Didi’s Bwana Hillary Mremi (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Heineken Tanzania Amon Theonest. Eric alitabiri ushindi wa...

 

11 years ago

Michuzi

Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel

 Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (wa pili kushoto) akiongelea umuhimu wa promosheni ya Mimi ni Bingwa muda mfupi baada ya kukabidhi shilingi milioni moja kwa baadhi ya washindi wa promosheni hiyo (waliopo pichani). Kushoto ni Bw. Ramdhani Wefa, Kulia ni Philemon Nathaniel Mgaya akifuatiwa na Bw. Msemwa Makuzi ambaye pia ni mshindi wa tiketi na wote wakiwa wanatokea Dar es salaam. Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kulia) akikabidhi kitita cha shilingi...

 

11 years ago

GPL

REDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA

Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano  wa TV1, Mponjoli Katule.…

 

9 years ago

GPL

WASHINDI WA SHINDANO LA 'GENIUS-CUP' WAZAWADIWA‏

Mwanafunzi Fuad Thabit kutoka Feza Boys Secondary aliyeibuka mshindi wa kwanza shule za sekondari katika Shindano la Genius-Cup akipokea cheti na zawadi yake ya shilingi 300,000 toka kwa  mgeni rasmi wa hafla hiyo, Ofisa Mkuu  wa Utafiti taasisi ya COSTECH, Athman Mgumia.…

 

11 years ago

GPL

AMANDA: MIMI NA BWELA BADO 'DAMDAM'

STORI:GLADNESS MALLYA
Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa japokuwa wametengana na mumewe Hamisi Bwela, bado kila mmoja anampenda mwenzake. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Amanda alisema, watu wengi wanadhani alivyoachana na Hamisi, hawaivi tena kitu ambacho siyo kweli kwani wamekuwa wakishirikiana katika masuala mbalimbali. Tamrina Posh ‘Amanda’. ...

 

10 years ago

GPL

NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI‏

John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA 'SWITCH ON' KWA KISHINDO!

WASANII Nay wa Mitego, Barnabas na Vanessa Mdee wakizundua huduma ya vifurushi vya Internet vya kampuni ya simu za mkononi ya Airtel katika hotel ya Hyatt Kempinsky Kilimanjaro Hotel usiku huu, Mei 21, 2014.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani