Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9N*ITuTuR56xGA7h88a3U3vJ7dyjw5qvah-84-UeiRCCkjlwQGtFozlJuhJqqRWcevsBW-rdW2zj1yrZfLzvDg/airtel.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mamilioni ya Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ yaenda Bukoba
Promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’ imemtangaza Rashid Jacob Kagombola, mkazi wa Bukoba mkoani Kagera kuwa mshindi wa Sh50 milioni katika droo kubwa ya bahati nasibu iliyochezeshwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania mwishoni mwa wiki Dar es Salaam.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2J2g04dWrSM7ktRW6BUcR6-aJkvIz0KeH93tvhfChULH5s53EAj3wqx6XL0M*K9MCAkbGNsoTo-V*bOipceiicr/BINGWA1.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwa pamoja na...
11 years ago
TheCitizen27 Jan
‘Mimi ni Bingwa’ winners leave for Old Trafford
The first batch of Airtel Mimi ni Bingwa promotion ticket winners yesterday left for a lifetime fully paid trip to Old Trafford.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s72-c/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
Milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ kutolewa Ijumaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s1600/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu, imepangwa kuchezeshwa katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
"Baada ya miezi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s72-c/4.jpg)
Mkazi wa Bukoba ashinda milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’
![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSlPIwELvaU/UxawAkOh2ZI/AAAAAAACbng/TM52jyd5myI/s1600/5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS2XWV3TVdPpYlGKJfvr*SYBI8x-BMAHwkcEOaZB3tpl8kwScWvfMh4ZCr7aEyOOFDKEnX5BzaNinpxjcVWCopyh/1miminibingwapic2.jpg?width=650)
MILIONI 50 ZA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ KUTOLEWA IJUMAA
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Na Mwandishi Wetu
 KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50. Jane Matinde akiwa na baadhi ya washindi wa shindano la Mimi Ni… ...
11 years ago
TheCitizen10 Feb
Retired IGP wins Sh5 million in Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ promo
Retired Inspector General of Police (IGP) Philemon Nathaniel Mgaya has all reasons to rejoice after winning Sh5 million in Airtel Tanzania’s ‘Mimi ni Bingwa’ promotion. This comes just a few weeks away from the mega prize draw in which the winner will walk away with Sh50 million.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania