Mamilioni ya Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ yaenda Bukoba
Promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’ imemtangaza Rashid Jacob Kagombola, mkazi wa Bukoba mkoani Kagera kuwa mshindi wa Sh50 milioni katika droo kubwa ya bahati nasibu iliyochezeshwa na Kampuni ya Mawasiliano ya Airtel Tanzania mwishoni mwa wiki Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s72-c/4.jpg)
Mkazi wa Bukoba ashinda milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’
![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSlPIwELvaU/UxawAkOh2ZI/AAAAAAACbng/TM52jyd5myI/s1600/5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s72-c/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
Milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ kutolewa Ijumaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s1600/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu, imepangwa kuchezeshwa katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
"Baada ya miezi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS2XWV3TVdPpYlGKJfvr*SYBI8x-BMAHwkcEOaZB3tpl8kwScWvfMh4ZCr7aEyOOFDKEnX5BzaNinpxjcVWCopyh/1miminibingwapic2.jpg?width=650)
MILIONI 50 ZA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ KUTOLEWA IJUMAA
Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana. Na Mwandishi Wetu
 KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50. Jane Matinde akiwa na baadhi ya washindi wa shindano la Mimi Ni… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo0VtSEbuzozkZjoVjdSC2r1BRJAWk6cPIHLwBWIKHq4g*0xwbqxH2Civ4sfPx5sh21zxdO3j-SAmqNTcY40Y37/BINGWA4.jpg?width=650)
AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya hundi kwa Mshindi wa Promosheni ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini. Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini (kushoto) akikabidhi hundi kwa Mshindi wa… ...
11 years ago
TheCitizen10 Feb
Retired IGP wins Sh5 million in Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ promo
Retired Inspector General of Police (IGP) Philemon Nathaniel Mgaya has all reasons to rejoice after winning Sh5 million in Airtel Tanzania’s ‘Mimi ni Bingwa’ promotion. This comes just a few weeks away from the mega prize draw in which the winner will walk away with Sh50 million.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl9N*ITuTuR56xGA7h88a3U3vJ7dyjw5qvah-84-UeiRCCkjlwQGtFozlJuhJqqRWcevsBW-rdW2zj1yrZfLzvDg/airtel.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ WAREJEA KUTOKA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.
Meneja Uhusiano...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF4-qtz-5QeJ8xG86Y0oOhKwxuL-LpgXBuxddf9J-5PahEtd3SDSIhl9pxsda9un7LZx33ZVI48g7vkp4rrXVcONwP8cVrGi/3.jpg?width=650)
AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ YAZIDI KUWAPA WATANZANIA WENGI FARAJA
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Bw. Jackson Mmbando (kulia) akisisitiza jambo wakati akiwatangaza washindi wa droo ya wiki ya tisa ya promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa iliyochezeshwa jana na kuwapata washindi wa pesa taslimu ya zaidi ya Shilingi milioni 22 na kumpata Edwin Edmund Kajimbo kutoka Iringa aliyejishindia tiketi mbili ya safari iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda kuangalia mechi ya ligi kuu ya Uingereza moja kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania