AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo0VtSEbuzozkZjoVjdSC2r1BRJAWk6cPIHLwBWIKHq4g*0xwbqxH2Civ4sfPx5sh21zxdO3j-SAmqNTcY40Y37/BINGWA4.jpg?width=650)
Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya hundi kwa Mshindi wa Promosheni ya Mimi ni Bingwa, aliyejishindia Shilingi Milioni 50, Bw. Kagombo Rashind Jacob (kushoto). Pembeni ni Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini. Meneja Masoko wa Airtel , Upendo Nkini (kushoto) akikabidhi hundi kwa Mshindi wa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania Mimi ni Bingwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s1600/unnamed+(1).jpg)
---------------------------- MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya anakila sababu...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/picha-1.jpg?width=650)
AIRTEL YATANGAZA MSHINDI WA MILIONI 50 WA PROMOSHENI YA JIONGEZE NA MSHIKO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo9XBnii83VxJVV*noDhWLF-2vlmodcY-2RQKLAZN2EbpoR35W9Uqhc9OH5YQHQUIU9JYeaXSXpPFY6mfFvdGrMQ/1Mshindi4.jpg?width=650)
MKUU WA JESHI LA POLISI MSTAAFU ASHINDA KWENYE PROMOSHENI YA AIRTEL TANZANIA MIMI NI BINGWA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s72-c/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
Milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ kutolewa Ijumaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s1600/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu, imepangwa kuchezeshwa katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
"Baada ya miezi...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s72-c/4.jpg)
Mkazi wa Bukoba ashinda milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’
![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSlPIwELvaU/UxawAkOh2ZI/AAAAAAACbng/TM52jyd5myI/s1600/5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VMB94olbxS2XWV3TVdPpYlGKJfvr*SYBI8x-BMAHwkcEOaZB3tpl8kwScWvfMh4ZCr7aEyOOFDKEnX5BzaNinpxjcVWCopyh/1miminibingwapic2.jpg?width=650)
MILIONI 50 ZA AIRTEL ‘MIMI NI BINGWA’ KUTOLEWA IJUMAA
11 years ago
MichuziNBC yakabidhi zawadi ya Gari kwa mshindi wa promosheni ya Weka Upewe
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e*Q7chwcF2YSNfPN1VIjVy9qgAA3BGWwdnusUxkSUPs0SBfD1L6w4w-qP4390wKbS4nZmO8JvOYUz6dpA4KYJxhulbx2n8cn/001.jpg?width=650)
MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 1/- KUPITIA PROMOSHENI YA JAYMILLIONS AKABIDHIWA KITITA CHAKE NA BALOZI WA PROMOSHENI HIYO