Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu ashinda kwenye promosheni ya Airtel Tanzania Mimi ni Bingwa
![](http://2.bp.blogspot.com/-KVZh4Q2sHlI/Uvh3g5i7CiI/AAAAAAAFMBw/UiiGb6H5Sqs/s72-c/unnamed+(1).jpg)
Afisa Uhusiano wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Jane Matinde, (kulia) akimpongeza mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya aliyejishindia shilingi milioni tano (5m/-) ikiwa ni zawadi ya wiki katika promosheni ya Mimi ni Bingwa. Makabidhiano hayo yalifanyika mwishini mwa wiki katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
----------------------------
MKUU wa Jeshi la Polisi (IGP) mstaafu Mzee Philemon Nathaniel Mgaya anakila sababu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo9XBnii83VxJVV*noDhWLF-2vlmodcY-2RQKLAZN2EbpoR35W9Uqhc9OH5YQHQUIU9JYeaXSXpPFY6mfFvdGrMQ/1Mshindi4.jpg?width=650)
MKUU WA JESHI LA POLISI MSTAAFU ASHINDA KWENYE PROMOSHENI YA AIRTEL TANZANIA MIMI NI BINGWA
11 years ago
Mwananchi10 Feb
IGP mstaafu ashinda ‘Mimi Bingwa’
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s72-c/IMG_9278.jpg)
Washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa waipongeza Airtel
![](http://4.bp.blogspot.com/-Q7STyVQmqq8/UvNHoclXtnI/AAAAAAACaMY/n08SUjy4gzs/s1600/IMG_9278.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s72-c/4.jpg)
Mkazi wa Bukoba ashinda milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’
![](http://4.bp.blogspot.com/-DtZHiDKG3WI/Uxav89EsJXI/AAAAAAACbnI/uzMZbSAAeLU/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSlPIwELvaU/UxawAkOh2ZI/AAAAAAACbng/TM52jyd5myI/s1600/5.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqo0VtSEbuzozkZjoVjdSC2r1BRJAWk6cPIHLwBWIKHq4g*0xwbqxH2Civ4sfPx5sh21zxdO3j-SAmqNTcY40Y37/BINGWA4.jpg?width=650)
AIRTEL YAKABIDHI MILIONI 50 KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA LEO
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s72-c/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
Milioni 50 za Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ kutolewa Ijumaa
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yq-Cn7HxvC8/UwsE6VoKQSI/AAAAAAAFPMw/BssCapks77s/s1600/mimi+ni+bingwa+pic.jpg)
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania Ijumaa hii itachezesha droo kubwa ya promosheni yake ya 'Mimi Ni Bingwa' ambayo itamfanya mmoja wa wateja wake kujishindia zawadi ya kitita cha shilingi milioni 50.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Afisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde alisema droo hiyo itakayobadilisha maisha ya mtu, imepangwa kuchezeshwa katika ofisi za makao makuu ya kampuni hiyo jijini Dar es Salaam.
"Baada ya miezi...
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Mamilioni ya Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ yaenda Bukoba
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Airtel yamwaga mamilioni, tiketi za Old Trafford ‘Mimi Bingwa’
KAMPUNI ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imewazawadia wateja wake zaidi ya sh milioni 130 na kutoa tiketi 12 za safari iliyolipiwa kila kitu kwenda Old Trafford, Uingereza kupitia promosheni yake...