AMANDA: MIMI NA BWELA BADO 'DAMDAM'
![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnKwJhShtMJXcdzRckzzrzhZ1wlD3VD*DEksA1WmIesPxKR6RcxE41OLpdRDZy0go9KwgS4gS2C5YOfJ96pmY0Y/amanda9.jpg?width=650)
STORI:GLADNESS MALLYA Msanii wa filamu, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa japokuwa wametengana na mumewe Hamisi Bwela, bado kila mmoja anampenda mwenzake. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Amanda alisema, watu wengi wanadhani alivyoachana na Hamisi, hawaivi tena kitu ambacho siyo kweli kwani wamekuwa wakishirikiana katika masuala mbalimbali. Tamrina Posh ‘Amanda’. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2J2g04dWrSM7ktRW6BUcR6-aJkvIz0KeH93tvhfChULH5s53EAj3wqx6XL0M*K9MCAkbGNsoTo-V*bOipceiicr/BINGWA1.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwakabidhi tiketi za ndege baadhi ya washindi wa promosheni ya Mimi ni Bingwa inayoendeshwa na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel tayari kwa ajili ya safari yao ya kwenda kushuhudia mechi kati ya Manchester United na Cardiff City itakayochezwa kesho kwenye uwanja wa Old Trafford.
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Bw. Jackson Mmbando akiwa pamoja na...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0004.jpg)
NJOO UPUNGUZE 'STRESS' ZA WIKI NZIMA KWA BURUDANI YA 'LIVE MUSIC' NA SKYLIGHT BAND LEO, THAI VILLAGE-MASAKI
John Music (katikati) akitoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) Ijumaa iliyopita huku akipewa sapoti ya Back vocal na Ashura Kitenge (kushoto) pamoja na Sam Mapenzi. It's Friday and its on #TGIF, Skylight friday, wadau na wapenzi wa muziki wa live na wa kiwango cha juu,wote tunakutana Thai village Masaki, jioni hii kwa burudani safii toka kwa wakali wa town vijana wa Skylight Band, Karibuni sana...
10 years ago
GPL01 Jan
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qHkXSNTTQ9fmojbSGpCVY9TW54lhlj-ptX7F*gkaWxvLUUMfsGtJMtgH59svzjuFjg0jwmEqXG5NomQBFZbiGCm0rxkjtgMs/hands.in.the.air.gif?width=650)
MKE WA OBAMA ASHEREHEKEA BETHIDEI YA MIAKA 5 YA KAMPENI YAKE YA 'LET'S MOVE' KWA DANSI
MKE wa Rais wa Marekani Barack Obama, Michelle Obama juzi Jumatatu alitoa shoo ya nguvu kwa kucheza wimbo wa Mark Ronson uitwao "Uptown Funk" akiwa sambamba na mastaa wa "So You Think You Can Dance". Michelle alikuwa akisherehekea bethidei ya miaka mitano ya Kampeni yake ya "Let's Move!" yenye lengo la kuondoa vitambi kwa watoto nchini Marekani. Michelle alianzisha kampeni hiyo mwaka 2010 baada ya kuwepo watoto wengi wenye...
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA 'KING OF THE BEST MELODIES' AAHIDI MAKUBWA SHOO YA VALENTINE'S DAY, DAR LIVE
Christian Bella (kulia) akijibu baadhi ya maswali ya wanahabari (hawapo pichani) kuhusu maandalizi ya shoo yake ya Valentine kwenye Ukumbi wa Dar Live. Bella akisisitiza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani).…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVXZLy9n7Qc2eSXRKY0Sq8rbWO*Slp911600QDNGdsc01b4dqHWa6xFhehNDAxvQBHdR0eJShzwIhwXbE66bgvJ5/balo.jpg?width=650)
CRISTIANO RONALDO 'AKOPI NA KUPESTI' STAILI YA MARIO BALOTELLI
Cristiano Ronaldo (kushoto) akishangilia bao lake la penalti dhidi ya Atletico Madrid. Kulia ni Mario Balotelli alipofunga bao katika nusu fainali ya Euro 2012 kati ya Italia na Ujerumani. MSHAMBULIAJI wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ‘amekopi na kupesti’ staili ya mshambuliaji wa AC Milan Mario Balotelli baada ya kufunga bao la nne dhidi ya Atletico Madrid kwenye Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia...
10 years ago
GPLDC AZINDUA FILAMU YA 'MATESO YANGU UGHAIBUNI', UZINDUZI WAFANA
Mkuu wa Wilaya (DC) Temeke, Mheshimiwa Sophia Mjema akihutubia kwa niaba ya mke wa waziri mkuu, Tunu Pinda, aliyetarajiwa kuwa mgeni rasmi, (hakufika) wakati wa uzinduzi wa filamu hiyo. Muigizaji Esha Buheti akiwa katika zulia jekundu 'red carpet' kwa ajili ya kupiga picha kwenye uzinduzi wa filamu…
11 years ago
GPLREDD'S MISS CHANG'OMBE ZAWADI ZA WASHINDI ZATANGAZWA
Mratibu wa Shindano la kumtafuta mrembo wa Redd's Miss Chang'ombe, Tom Chilala (katikati),akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, leo wakati wa kuitangaza zawadi za washindi. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Marie Stopes, Dk. Jophn Bosco na Ofisa Uhusiano wa TV1, Mponjoli Katule.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmw610OtWVp-GcJ7mQttPWkrFIZYc7Ts4*fdlA1LrLthXUpJVIP0DRCfQuSuTqtMe0xdoIXKzbGLxC6g3vxI*k0l/Diamond....jpg?width=650)
DIAMOND, ROMY JONES TANGU 'LONG TIME' KITAMBO
Na Musa Mateja
Kwa sasa tunapozungumzia mastaa wa muziki wanaofanya vizuri hapa Bongo, jina la Nasibu Abdul ‘Diamond’ lazima litachukua nafasi ya kwanza kisha wengine watafuata. Ni kijana anayejituma sana na jitihada zake hizo zimemfanya awe maarufu barani Afrika. Picha tofauti wakati wa utoto wao. Nyuma ya mafanikio ya Diamond wapo watu wengi. Mwenyewe amekuwa akimshukuru sana mama yake, Sanura Kassim...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania