Watatu waula ngumi za kulipwa
Watanzania watatu wameteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Shirikisho la Ngumi za Kulipwa la Afrika Mashariki na Kati (ECAPBA) uteuzi uliofanyika kwenye kikao cha mabadiliko cha ECAPBA kilichofanyika hivi karibuni jijini Kigali nchini Rwanda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi26 Jul
CHAMA CHA NGUMI ZA KULIPWA TPBC CHATOA MAFUNZO KWA MAREFARII
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cP_v7IvN30/Vco_gQrlh0I/AAAAAAAHwIE/CvLZZkaqaII/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino
11 years ago
GPLHAFRA FUPI YA SHIRIKISHO LA NGUMI ZA RIDHAA TANZANIA KWA AJILI YA KUHAMASISHA MCHEZO WA NGUMI KWA VIJANA TANZANIA
9 years ago
Habarileo20 Oct
Waandishi waula Kamati ya Stars
KAMATI mpya ya kusaidia timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ ilijitambulisha rasmi jana mbele ya vyombo vya habari, huku ikitangaza kuteua kamati nne ndogo kwa ajili ya kuhakikisha inasimamia ipasavyo mikakati mbalimbali ya ushindi, ikianzia katika mchezo ujao dhidi ya Algeria.
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’
10 years ago
Habarileo11 Aug
Watanzania saba waula CAF
WATANZANIA saba wameula baada ya kuteuliwa kwenye kamati mbalimbali za Shirikisho la Soka Afrika, (CAF). Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanznia (TFF), uteuzi huo ulifanyika kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF kilichokutana mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Cairo, Misri.
11 years ago
Habarileo11 Jun
Dk Huviza, Ole-Medeye waula bungeni
MBUNGE wa Arumeru Magharibi, Goodluck ole-Medeye (CCM) na Mbunge wa Viti Maalum, Dk Terezya Huviza (CCM) jana walichaguliwa kuwakilisha Bunge katika taasisi mbili tofauti.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Kinje, Gumbo, Kessy waula Shelisheli
WANASOKA watatu wa Tanzania wameombewa hati za uhamisho wa kimataifa (ITC), na Shirikisho la Soka la Shelisheli (SFF), ili waweze kucheza katika klabu ya La Passe FC ya nchini humo....