Kinje, Gumbo, Kessy waula Shelisheli
WANASOKA watatu wa Tanzania wameombewa hati za uhamisho wa kimataifa (ITC), na Shirikisho la Soka la Shelisheli (SFF), ili waweze kucheza katika klabu ya La Passe FC ya nchini humo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Semmy Kessy atibua ‘dili’ la Shelisheli
MAOMBI ya Hati za Uhamisho wa Kimataifa yaliyotumwa na klabu ya La Passe ya Shelisheli kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), yamezua utata baada ya klabu ya Lipuli ya Iringa...
9 years ago
Bongo511 Oct
Video: Jumabee Ft Jesse Jagz — Je kinje
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Dk. Sheni ateta na marais wa Comoro na Shelisheli
Na Mwandishi Maalumu
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Sheni, amekutana na kufanya mazungumzo na marais James Michel wa Shelisheli na Ikililou Dhoinine wa Comoro, ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hizo.
Mazungumzo kati ya Dk. Sheni na marais hao, yalifanyika juzi sambamba na Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa, unaoendelea mjini Apia katika visiwa vya Samoa, ambako marais hao wanahudhuria.
Katika mazungumzo yake na Rais wa...
9 years ago
Habarileo20 Oct
Waandishi waula Kamati ya Stars
KAMATI mpya ya kusaidia timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ ilijitambulisha rasmi jana mbele ya vyombo vya habari, huku ikitangaza kuteua kamati nne ndogo kwa ajili ya kuhakikisha inasimamia ipasavyo mikakati mbalimbali ya ushindi, ikianzia katika mchezo ujao dhidi ya Algeria.
10 years ago
Habarileo11 Aug
Watanzania saba waula CAF
WATANZANIA saba wameula baada ya kuteuliwa kwenye kamati mbalimbali za Shirikisho la Soka Afrika, (CAF). Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanznia (TFF), uteuzi huo ulifanyika kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF kilichokutana mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Cairo, Misri.
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Watatu waula ngumi za kulipwa
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9o/0OFzZxtThhE/s72-c/tff-1.jpg)
WATANZANIA SABA WAULA KAMATI ZA CAF
![](http://1.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9o/0OFzZxtThhE/s400/tff-1.jpg)
Walioteuliwa pamoja na kamati zao katika mabano ni:
1. Leodeger Tenga- (Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Fedha, Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Mashindano ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa ndani (CHAN), Mwenyekiti wa...