Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinje, Gumbo, Kessy waula Shelisheli

WANASOKA watatu wa Tanzania wameombewa hati za uhamisho wa kimataifa (ITC), na Shirikisho la Soka la Shelisheli (SFF), ili waweze kucheza katika klabu ya La Passe FC ya nchini humo....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Semmy Kessy atibua ‘dili’ la Shelisheli

MAOMBI ya Hati za Uhamisho wa Kimataifa yaliyotumwa na klabu ya La Passe ya Shelisheli kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), yamezua utata baada ya klabu ya Lipuli ya Iringa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Jumabee Ft Jesse Jagz — Je kinje

S2DB Entertainment’s Top Talent, Jumabee is out with another mind blowing visuals for his well packaged song “Je Kin Je” which he featured the King Of Jagznation, Jesse Jagz. This peculiar and precise video was shot at The Place, Ikeja GRA by Cardoso Imagery with cameo appearances made by Monica Ogah,Sleeq, Joe EL, Bangin, Runzy […]

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Sheni ateta na marais wa Comoro na Shelisheli


Na Mwandishi Maalumu
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Sheni, amekutana na kufanya mazungumzo na marais James Michel wa Shelisheli na Ikililou Dhoinine wa Comoro, ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hizo.
Mazungumzo kati ya Dk. Sheni na marais hao, yalifanyika juzi sambamba na Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa, unaoendelea mjini Apia katika visiwa vya Samoa, ambako marais hao wanahudhuria.
Katika mazungumzo yake na Rais wa...

 

9 years ago

Habarileo

Waandishi waula Kamati ya Stars

KAMATI mpya ya kusaidia timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ ilijitambulisha rasmi jana mbele ya vyombo vya habari, huku ikitangaza kuteua kamati nne ndogo kwa ajili ya kuhakikisha inasimamia ipasavyo mikakati mbalimbali ya ushindi, ikianzia katika mchezo ujao dhidi ya Algeria.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania saba waula CAF

WATANZANIA saba wameula baada ya kuteuliwa kwenye kamati mbalimbali za Shirikisho la Soka Afrika, (CAF). Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanznia (TFF), uteuzi huo ulifanyika kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF kilichokutana mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Cairo, Misri.

 

11 years ago

Mwananchi

Waula promosheni ya ‘Mimi ni Bingwa’

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania imeshazawadia wateja wake zaidi ya sh 40milioni katika promosheni yake ya ‘Mimi ni Bingwa’ yenye lengo la kuwazawadia wateja wake na kuongeza chachu ya soka nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Watatu waula ngumi za kulipwa

Watanzania watatu wameteuliwa kushika nyadhifa mbalimbali kwenye Shirikisho la Ngumi za Kulipwa la Afrika Mashariki na Kati (ECAPBA) uteuzi uliofanyika kwenye kikao cha mabadiliko cha ECAPBA kilichofanyika hivi karibuni jijini Kigali nchini Rwanda.

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA SABA WAULA KAMATI ZA CAF

Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la mpira barani Afrika (CAF ) kilichokutana mwishoni mwa wiki jijini Cairo nchini Misri, kimewateua watanzania saba kuwa wajumbe wa kamati zake mbali mbali kwa kwa kipindi cha miaka miwili 2015-2017. 

Walioteuliwa pamoja na kamati zao katika mabano ni: 
1. Leodeger Tenga- (Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Fedha, Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Mashindano ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa ndani (CHAN), Mwenyekiti wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani