Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Semmy Kessy atibua ‘dili’ la Shelisheli

MAOMBI ya Hati za Uhamisho wa Kimataifa yaliyotumwa na klabu ya La Passe ya Shelisheli kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), yamezua utata baada ya klabu ya Lipuli ya Iringa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinje, Gumbo, Kessy waula Shelisheli

WANASOKA watatu wa Tanzania wameombewa hati za uhamisho wa kimataifa (ITC), na Shirikisho la Soka la Shelisheli (SFF), ili waweze kucheza katika klabu ya La Passe FC ya nchini humo....

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Sheni ateta na marais wa Comoro na Shelisheli


Na Mwandishi Maalumu
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Sheni, amekutana na kufanya mazungumzo na marais James Michel wa Shelisheli na Ikililou Dhoinine wa Comoro, ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hizo.
Mazungumzo kati ya Dk. Sheni na marais hao, yalifanyika juzi sambamba na Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa, unaoendelea mjini Apia katika visiwa vya Samoa, ambako marais hao wanahudhuria.
Katika mazungumzo yake na Rais wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkosamali atibua Bunge

MBUNGE wa Mhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amezua mjadala mkali bungeni kwa kuishambulia Serikali ya CCM akidai kuwa mawaziri wake wamekuwa wakitoa majibu mepesi yasiyo na mashiko. Mkosamali alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

GPL

WEMA SEPETU ATIBUA TENA

Stori: Hamida Hassan
BEAUTIFUL Onyinye, Wema Sepetu ameendelea ‘kutibua’ hali ya hewa kwa kukiuka maadili ambapo kwa mara nyingine tena ametupia picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake. Wema Sepetu. Picha hiyo iliyopo kwenye baadhi ya mitandao ya kijamii inamuonesha Wema akiwa amevaa kiblauzi chenye matundu kiasi cha kuifanya sidiria aliyovaa ionekane...

 

10 years ago

GPL

WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY

Mwigizaji wa filamu Bongo Jacqueline Wolper. Stori: Musa mateja
KIMENUKA! Mwigizaji Jacqueline Wolper ameibua tafrani la aina yake kwa Mbongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ baada ya kumtumia meseji iliyomtia shaka mpenzi wa staa huyo, Siwema. Tukio hilo lilitokea juzikati nyumbani kwa Nay wa Mitego, Kimara- Korogwe jijini Dar  ambapo ilisemekana Wolper alituma SMS iliyokuwa ikiuliza muafaka wa jambo...

 

10 years ago

GPL

Lowassa atibua mazoezi Simba SC

Aliyekuwa mgombea mtarajiwa wa urais nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa. Na Omary Mdose, Lushoto
BAADA ya aliyekuwa mgombea mtarajiwa wa urais nchini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa jina lake kukatwa kwenye nafasi hiyo, hali ilibadilika kwenye mazoezi ya Simba yaliyofanyika juzi Jumamosi kwenye Uwanja wa Chuo cha Magamba, Lushoto, Tanga.… ...

 

10 years ago

Mtanzania

Tibaijuka atibua hasira za wananchi

TibaijukaNA EVANS MAGEGE

KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...

 

10 years ago

GPL

BINTI ATIBUA ONYESHO LA SIKINDE

Stori: Richard Bukos, Morogoro
BINTI mmoja aliyeonekana kuzidisha kiburudisho, mwishoni mwa wiki iliyopita alitibua onyesho na kugeuka kuwa burudani baada ya kupanda juu ya jukwaa la Mlimani Park ‘Sikinde Ngoma ya Ukae’ na kuwakumbatia ovyo wanamuziki. Binti akivamia jukwaa baada ya kupiga urabu wa kutosha. Tukio hilo lilitokea wiki iliyopita katika ukumbi wa Railway Club ambako paparazi wetu alimshuhudia binti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani