Semmy Kessy atibua ‘dili’ la Shelisheli
MAOMBI ya Hati za Uhamisho wa Kimataifa yaliyotumwa na klabu ya La Passe ya Shelisheli kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), yamezua utata baada ya klabu ya Lipuli ya Iringa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Kinje, Gumbo, Kessy waula Shelisheli
WANASOKA watatu wa Tanzania wameombewa hati za uhamisho wa kimataifa (ITC), na Shirikisho la Soka la Shelisheli (SFF), ili waweze kucheza katika klabu ya La Passe FC ya nchini humo....
10 years ago
Uhuru Newspaper02 Sep
Dk. Sheni ateta na marais wa Comoro na Shelisheli
Na Mwandishi Maalumu
RAIS wa Zanzibar Dk. Ali Mohamed Sheni, amekutana na kufanya mazungumzo na marais James Michel wa Shelisheli na Ikililou Dhoinine wa Comoro, ambapo walizungumzia masuala mbalimbali ya uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na nchi hizo.
Mazungumzo kati ya Dk. Sheni na marais hao, yalifanyika juzi sambamba na Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Nchi za Visiwa, unaoendelea mjini Apia katika visiwa vya Samoa, ambako marais hao wanahudhuria.
Katika mazungumzo yake na Rais wa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mkosamali atibua Bunge
MBUNGE wa Mhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amezua mjadala mkali bungeni kwa kuishambulia Serikali ya CCM akidai kuwa mawaziri wake wamekuwa wakitoa majibu mepesi yasiyo na mashiko. Mkosamali alitoa kauli hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcrRrf5tVLvjTIIDECCpLWslZGsoWXlsi2bSRlkDYmuaDEkBR-a27e7XXdF1ISI0qfzTKNG7Sqlwe-eGJz8N1WT6/wema.jpg?width=650)
WEMA SEPETU ATIBUA TENA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/BY6VWIVrp23fp0mC8Di3mPRWlOnlnv6UJ9Wd6DecEXHczXUmYKWGplyv3SEPnJ8syYs3lnVl*Zboa*mJA6fGNK8ugXbzJ9am/wolperfull.jpg?width=650)
WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6iG9-Zi4U-jApsGatM-IO5ITf*kA-IhWVWc-6aHvz3Gka1t0bQWPNx*hgbCak5rnoLGNePp0CXUyYor4S116Vi/1h.jpg?width=650)
Lowassa atibua mazoezi Simba SC
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Tibaijuka atibua hasira za wananchi
NA EVANS MAGEGE
KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscaxAHCKDOE*S*KqZCYiAm9Ph4GFkNQ8RshuGK-p9LBqcbh96lBapsza3RYxma3Aj8Ki7uYgAGwc1K6yFMXyiv7r/cy.jpg?width=650)
BINTI ATIBUA ONYESHO LA SIKINDE