WATANZANIA SABA WAULA KAMATI ZA CAF
![](http://1.bp.blogspot.com/-javOloBOWNk/VU2-7PFJN7I/AAAAAAABN9o/0OFzZxtThhE/s72-c/tff-1.jpg)
Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la mpira barani Afrika (CAF ) kilichokutana mwishoni mwa wiki jijini Cairo nchini Misri, kimewateua watanzania saba kuwa wajumbe wa kamati zake mbali mbali kwa kwa kipindi cha miaka miwili 2015-2017.
Walioteuliwa pamoja na kamati zao katika mabano ni:
1. Leodeger Tenga- (Mjumbe wa Kamati ya Utendaji, Makamu Mwenyekiti Kamati ya Fedha, Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Mashindano ya fainali za Mataifa Afrika kwa Wachezaji wa ndani (CHAN), Mwenyekiti wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Aug
Watanzania saba waula CAF
WATANZANIA saba wameula baada ya kuteuliwa kwenye kamati mbalimbali za Shirikisho la Soka Afrika, (CAF). Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanznia (TFF), uteuzi huo ulifanyika kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF kilichokutana mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Cairo, Misri.
9 years ago
Habarileo20 Oct
Waandishi waula Kamati ya Stars
KAMATI mpya ya kusaidia timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ ilijitambulisha rasmi jana mbele ya vyombo vya habari, huku ikitangaza kuteua kamati nne ndogo kwa ajili ya kuhakikisha inasimamia ipasavyo mikakati mbalimbali ya ushindi, ikianzia katika mchezo ujao dhidi ya Algeria.
11 years ago
Michuzi24 Feb
Malinzi Ajitambulisha Rasmi Kwa Rais wa CAF, Issa Hayatou Jijini Cairo,Misri Akisindikizwa na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya CAF Leodegar Tenga
![](https://2.bp.blogspot.com/-UVYPyQ-02Z4/Uwntlg7YtPI/AAAAAAACp4c/H4-evbCksrM/s1600/20140221_100321.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-zesdCzfmPaI/UwntlSoUZjI/AAAAAAACp4g/jv48jcDs1LA/s1600/20140221_100343.jpg)
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Ngeleja, Mpina, Mtanda waula Kamati za Bunge
5 years ago
CCM BlogKAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE
Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Watanzania saba wauawa Zambia
MIILI ya watu saba inayosadikiwa kuwa ni raia wa Tanzania, imekutwa katika Kijiji cha Chianga kilichopo Wilaya ya Nakonde nchini Zambia. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nakonde, zinaeleza polisi wa...
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Wavuvi saba Watanzania wawekwa karantini baada ya kuokolewa baharini Kenya
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s72-c/kamatistars.png)
KAMATI YA TAIFA STARS, YAWASHUKURU WATANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVqMmwKHV3o/Vlf-vM7t2wI/AAAAAAAIIi4/Odw4ZX3_xO8/s640/kamatistars.png)
Farough alianza kwa kuwashukuru watanzania kwa kujitokeza kwa wingi katika mechi ya Taifa Stars na Algeria na kuwashukuru pia wale wote waliosafiri na timu hiyo ya Taifa, Taifa Stars kwenda Algeria katika mechi ya marudiano.
Pia Mwenyekiti amechukua fursa hiyo...