IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino
![](http://3.bp.blogspot.com/--cP_v7IvN30/Vco_gQrlh0I/AAAAAAAHwIE/CvLZZkaqaII/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) na kampuni ya Kango wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa kwa kushirikisha mabondia nyota duniani.Mapmbano hayo yamepangwa kufanyika Novemba 28 kwenye ukumbi wa Mlimani City na lengo lake kubwa ni kutafuta fedha za kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).Rais wa IBF Africa, Onesmo Ngowi alisema kuwa siku hiyo imepewa jina la “knock out albinos...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Miss Tanzania 2012 Brigitte aendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa albino
Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mafunzo ya usajisiriamali kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini.
Na Mwandishi wetu
Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi.
Brigitte aliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania yalifungwa jana kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa na kupambwa...
10 years ago
Bongo517 Oct
Brigitte Alfred amtetea Miss TZ 2014, Sitti Mtemvu, ‘likikuchosha taji lilirudishe tu mpendwa’
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-omwdVUeIIsQ/U9-HUIpbkEI/AAAAAAAF8_0/0ryDt3th4Iw/s72-c/Brigitte+Alfred,+Miss+Tanzania+2012.jpg)
Miss Tanzania 2012, JAT kusomesha albino 50
![](http://1.bp.blogspot.com/-omwdVUeIIsQ/U9-HUIpbkEI/AAAAAAAF8_0/0ryDt3th4Iw/s1600/Brigitte+Alfred,+Miss+Tanzania+2012.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s72-c/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s1600/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
9 years ago
MichuziTaasisis ya Brigitte Alfred yajenga Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo Buhangija Mkoani Shinyanga
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Watatu waula ngumi za kulipwa
11 years ago
Michuzi26 Jul
CHAMA CHA NGUMI ZA KULIPWA TPBC CHATOA MAFUNZO KWA MAREFARII
11 years ago
Tanzania Daima05 Aug
Miss Tanzania, JAT kusomesha albino 50
WALEMAVUwa ngozi (Albino) 50 wanatarajiwa kupewa mafunzo ya ujasiriamali kuanzia Agosti 18, jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yanaratibiwa na Taasisi ya Brigitte Alfred Foundation (BAF) inayomilikiwa na aliyekuwa Miss...