Miss Tanzania, JAT kusomesha albino 50
WALEMAVUwa ngozi (Albino) 50 wanatarajiwa kupewa mafunzo ya ujasiriamali kuanzia Agosti 18, jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yanaratibiwa na Taasisi ya Brigitte Alfred Foundation (BAF) inayomilikiwa na aliyekuwa Miss...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-omwdVUeIIsQ/U9-HUIpbkEI/AAAAAAAF8_0/0ryDt3th4Iw/s72-c/Brigitte+Alfred,+Miss+Tanzania+2012.jpg)
Miss Tanzania 2012, JAT kusomesha albino 50
![](http://1.bp.blogspot.com/-omwdVUeIIsQ/U9-HUIpbkEI/AAAAAAAF8_0/0ryDt3th4Iw/s1600/Brigitte+Alfred,+Miss+Tanzania+2012.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Miss Tanzania 2012 Brigitte aendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa albino
Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred akiwa katika picha ya pamoja na walemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mafunzo ya usajisiriamali kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa jijini.
Na Mwandishi wetu
Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi.
Brigitte aliendesha mafunzo hayo kwa kushirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania yalifungwa jana kwenye viwanja vya Makumbusho ya Taifa na kupambwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cP_v7IvN30/Vco_gQrlh0I/AAAAAAAHwIE/CvLZZkaqaII/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
Tanzania yasaidiwa kusomesha wataalamu wa gesi
UMOJA wa Ulaya umeisaidia Serikali ya Tanzania katika sekta ya elimu kwa lengo la kupata wataalamu katika sekta ya gesi na petroli ambao kwa sasa wapo wachache. Waziri wa Nishati...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s72-c/missTanzania.png)
MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA 2014 KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png)
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-GvSu1e3kITI/Uv-9NuTQ1NI/AAAAAAAAM5k/x-IZL_dQO2E/s1600/missTanzania.png?width=640)
KWA MARA YA KWANZA MSHINDI WA MISS TANZANIA BEAUTY CONTEST USA KWENDA BONGO KUSHIRIKI REDD'S MISS TANZANIA 2014!
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Miss Albino kupatikana Septemba 4
JULIET MORI, TUDARCO
SHINDANO la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino’ linatarajiwa kufanyika Septemba 4 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF) kupitia Baraza la Sanaa nchini (Basata).
Mratibu wa tamasha hilo, Fatuma Mjungu, amesema tamasha hilo linalenga kuibua na kutambua vipaji, kujenga ujasiri, kuwawezesha kufikia malengo yao, kuwajenga kiafya, kiuchumi na...
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Miss Albino kusakwa Kanda ya Ziwa
NA GEORGE KAYALA
BAADA ya kupatikana washindi wa Miss Albino Kanda ya Mashariki na Kaskazini, kwa sasa shindano hilo linatarajiwa kufanyika Kanda ya Ziwa mwishoni mwa mwezi ujao jijini Mwanza ikiwa ni harakati za kuendelea kumsaka Miss Albino Tanzania 2016.
Mratibu wa shindano hilo, Alexander Matowo, aliliambia MTANZANIA jana kuwa maandalizi kwa ajili ya kumpata mshindi huyo yanaendelea ambapo tarehe na ukumbi vitawekwa wazi mwishoni mwa wiki hii.
Washindi waliopatikana hadi sasa ni...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Miss Albino Arusha kupatikana Desemba 18
NA GEORGE KAYALA
SHINDANO la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino Tanzania’ linalofanywa kikanda linaendelea Desemba 18, mwaka huu katika Jiji la Arusha.
Shindano hilo linatarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Triple A huko Arusha ambapo wasichana kadhaa watashindanishwa kumpata Miss Albino Kanda ya Kaskazini.
Mratibu wa shindano hilo, Alexander Matowo, alisema shindano hilo litafanyika kanda zote kisha washindi wa kila kanda watashindanishwa kwa ajili ya kumpata Miss...