Miss Albino Arusha kupatikana Desemba 18
NA GEORGE KAYALA
SHINDANO la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino Tanzania’ linalofanywa kikanda linaendelea Desemba 18, mwaka huu katika Jiji la Arusha.
Shindano hilo linatarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Triple A huko Arusha ambapo wasichana kadhaa watashindanishwa kumpata Miss Albino Kanda ya Kaskazini.
Mratibu wa shindano hilo, Alexander Matowo, alisema shindano hilo litafanyika kanda zote kisha washindi wa kila kanda watashindanishwa kwa ajili ya kumpata Miss...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania25 Aug
Miss Albino kupatikana Septemba 4
JULIET MORI, TUDARCO
SHINDANO la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino’ linatarajiwa kufanyika Septemba 4 katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
Tamasha hilo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF) kupitia Baraza la Sanaa nchini (Basata).
Mratibu wa tamasha hilo, Fatuma Mjungu, amesema tamasha hilo linalenga kuibua na kutambua vipaji, kujenga ujasiri, kuwawezesha kufikia malengo yao, kuwajenga kiafya, kiuchumi na...
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Miss Albino kupatikana leo usiku
NA GEORGE KAYALA
KUNDI la Mashauzi Classic Modern Taarab linatarajiwa kutoa burudani kali ya kukonga nyoyo za mashabiki watakaoshuhudia shindano la kumsaka mrembo wa watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Miss Albino’, linalofanyika katika Ukumbi wa Msasani Club, jijini Dar es Salaam leo usiku.
Tamasha hilo limeandaliwa na shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation (SVF) kupitia Baraza la Sanaa nchini (Basata).
Mratibu wa tamasha hilo, Fredy Kaula, ambaye pia ni Mwenyekiti wa shirika...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Miss Ilala kupatikana leo
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2qz6Y4Bfth0/U5BBXR8phkI/AAAAAAAFnzI/0I8Zk9hk2bg/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Miss Tabata kupatikana leo Da’ West Park
![](http://3.bp.blogspot.com/-2qz6Y4Bfth0/U5BBXR8phkI/AAAAAAAFnzI/0I8Zk9hk2bg/s1600/unnamed+(32).jpg)
11 years ago
MichuziMISS MANYARA 2014 KUPATIKANA JUNI 14 MJINI BABATI
Mkurugenzi wa Mirerani Entertainment, Akon Clement ambaye ni Mratibu wa mashindano hayo alisema mgeni rasmi wa mashindano hayo anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mary Nagu.
Akon alisema msanii maarufu wa kizazi kipya, Bob Junior kutoka jijini Dar es salaam anatarajiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cpBUNci31pzKxaXe14sk1YfBIbf6uH3pSUUiGZ8y6YivIZmjnm5NazTMOMTPD*U9ZATib6m27*I75Anhs2rLMPS/misstbt.jpg?width=650)
MISS TABATA KUPATIKANA LEO DA’ WEST PARK
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Redd’s Miss Tanzania 2014 kupatikana leo Dar
WASICHANA 30 wanaowania taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, jioni ya leo watapanda jukwaani kujaribu bahati katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Warembo hao waliopo kambini kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SXync5jyS5o/U5pal_VXymI/AAAAAAAFqO8/zyPuoDM1S5g/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Miss morogoro 2014 kupatikana leo nashera hotel ya mji kasoro bahari
![](http://3.bp.blogspot.com/-SXync5jyS5o/U5pal_VXymI/AAAAAAAFqO8/zyPuoDM1S5g/s1600/unnamed+(59).jpg)
10 years ago
GPLMISS TANZANIA 2013 KUSHIRIKI MASHINDANO YA DUNIA DESEMBA