MISS MANYARA 2014 KUPATIKANA JUNI 14 MJINI BABATI
Kinyanganyiro cha kuwania taji la Miss Manyara 2014, kinatarajia kufanyika Juni 14 mwaka huu katika ukumbi wa CCM Mkoa, mjini Babati, ambapo warembo kumi wanatarajia kuchuana.
Mkurugenzi wa Mirerani Entertainment, Akon Clement ambaye ni Mratibu wa mashindano hayo alisema mgeni rasmi wa mashindano hayo anatarajiwa kuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Mary Nagu.
Akon alisema msanii maarufu wa kizazi kipya, Bob Junior kutoka jijini Dar es salaam anatarajiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Gfj5qHcKzV4/U5q46x-WPOI/AAAAAAAFqS0/O0R6zwv2bHo/s72-c/unnamed+(78).jpg)
MISS MANYARA 2014 KUFANYIKA KESHO UKUMBI WA CCM MJINI BABATI
10 years ago
MichuziTUNDA MAN ASINDIKIZA SHOW YA VIPAJI WAREMBO MISS TANZANIA BABATI MKOANI MANYARA
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Redd’s Miss Tanzania 2014 kupatikana leo Dar
WASICHANA 30 wanaowania taji la Redd’s Miss Tanzania 2014, jioni ya leo watapanda jukwaani kujaribu bahati katika Ukumbi wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam. Warembo hao waliopo kambini kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SXync5jyS5o/U5pal_VXymI/AAAAAAAFqO8/zyPuoDM1S5g/s72-c/unnamed+(59).jpg)
Miss morogoro 2014 kupatikana leo nashera hotel ya mji kasoro bahari
![](http://3.bp.blogspot.com/-SXync5jyS5o/U5pal_VXymI/AAAAAAAFqO8/zyPuoDM1S5g/s1600/unnamed+(59).jpg)
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-Gfj5qHcKzV4/U5q46x-WPOI/AAAAAAAFqS0/O0R6zwv2bHo/s1600/unnamed+%2878%29.jpg)
MISS MANYARA 2014 KUFANYIKA KESHO
11 years ago
MichuziCosmas Cheka kupambana na Suma Ninja Juni 1, 2014 mjini Morogoro
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200612-WA0059.jpg)
TAKUKURU MANYARA YAWASHIKILIA MWENYEKITI NA KATIBU WA CCM BABATI
![](https://1.bp.blogspot.com/-JDSrSPbKCqc/XvbUJomRvKI/AAAAAAALvpo/dd_5QsF8_EEIYNzvNQKE-C6L3VmVc0uXACLcBGAsYHQ/s320/IMG-20200612-WA0059.jpg)
Na Mwandishi wetu, Babati
TAASISI ya kuzuia na kupambana na rushwa (Takukuru) Mkoani Manyara inamshikilia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Maisaka kati Bakari Khatibu na katibu wa Tawi hilo Juma Swalehe wote wakazi wa wilaya ya Babati kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa ya sh. 200,000 kutoka kwa Mwinjilist wa kanisa la kinjili la kilutheri Tanzania (KKKT) mtaa wa Komoto.
Mkuu wa Takukuru Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu aliyasema hayo mjini Babati wakati...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dxt35lR3O8w/VWLi0tyMbdI/AAAAAAAHZkg/4T9_85vG-sE/s72-c/pic%2Bmoja.jpg)
Umeme wa uhakika, Chato, Biharamulo kupatikana Juni, 2015
Imeelezwa kuwa wilaya za Chato na Biharamulo zitapata umeme wa uhakika ifikapo mwanzoni mwa mwezi Juni mwaka huu mara baada ya kukamilika kwa ufungaji wa mtambo wa pili wa umeme wilayani Biharamulo mkoani Kagera.
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akiwa katika ziara ya kikazi mkoani Kagera na kujionea maendeleo ya ufungaji wa mtambo huo utakozalisha umeme wa kiasi cha kilowati 650. Mwijage amesema kuwa mtambo huo utakaoanza kazi...
10 years ago
Michuzi21 Mar
ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI MH. WILLIAM LUKUVI BABATI MKOANI MANYARA
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/1a.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/2a.jpg)