Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana

Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya BAF (Brigitte Alfred Foundation) na Miss Tanzania 2012,Bi. Brigitte Alfred akimtumza mmoja wa vijana wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambao wako chini ya Taasisi hiyo,aliekuwa akighani shairi alilolitunga,wakati wa hafla ya kusherehekea Mafanikio ya Vijana hao iliyofanyika leo kwenye Viwanja Makumbusho,Jijini Dar es Salaam.Taasisi ya BAF kupitia Mpango wake wa JA (Juniour Achievement) imeweza kuelimisha vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi katika mpango wa kutoa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Brigitte Alfred amtetea Miss TZ 2014, Sitti Mtemvu, ‘likikuchosha taji lilirudishe tu mpendwa’

Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred amemtetea Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu ambaye tangu ashinde amekuwa akikosolewa kuwa hakustahili na kwamba alidanganya umri wake. Brigitte ametumia mtandao wa Instagram kuandika kile anachokiona kuwa ni uonevu kwa Mtemvu anayepokea matusi ya kila aina. “Mazuri mengi yanawapita, but when it’s something scandalous mnadiscuss forever!Ndio maana hatuendelei. I wish […]

 

10 years ago

Michuzi

IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino

Shirikisho la Ngumi za kulipwa la Afrika (IBF Africa) kwa kushirikiana na Taasisi ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred Foundation (BAF) na kampuni ya Kango wameandaa mapambano ya ngumi ya kimataifa kwa kushirikisha mabondia nyota duniani.Mapmbano hayo yamepangwa kufanyika Novemba 28 kwenye ukumbi wa Mlimani City na lengo lake kubwa ni kutafuta fedha za kusaidia watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).Rais wa IBF Africa, Onesmo Ngowi alisema kuwa siku hiyo imepewa jina la  “knock out albinos...

 

9 years ago

Michuzi

Taasisis ya Brigitte Alfred yajenga Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo Buhangija Mkoani Shinyanga

Jengo la Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo cha Shule ya Buhangija Mkoani Shinyanga, lililojengwa kwa ufadhili wa Taasisis ya Brigitte Alfred, Bi. Brigitte Alfre, muda mfupi kabla ya Uzinduzi rasmi wa Bweni hilo.Mbunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Mhe. Zitto Kabwe (katikati) akizungumza na mmoja wa wasimamizi wa kituo cha Shule ya Buhangija Mkoani Shinyanga wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo hicho, lililojengwa na Taasisis ya Brigitte...

 

10 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YASHEREHEKEA MAFANIKIO YAKE

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (aliyebeba kombe), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (wa pili kulia), Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Songoro Myonge (wa pili kushoto) na viogozi wengine wa Manispaa hiyo wakishangilia na kombe la ushindi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2014 kitaifa wakati wa hafla ya mafanikio ya Manispaa hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Halmashauri hiyo, Dar es Salaam juzi.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana akikabidhi cheti cha shukrani kwa Meya wa...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg

WATANZANIA watatu ni miongoni mwa waalikwa wa sherehe za kutimiza miaka 250 ya mafanikio ya kuanzishwa kwa kinywaji maarufu kutoka Ufaransa, Hennessy, sherehe ambayo iliyofanyika Johannesburg, Afrika Kusini hivi karibuni. Nas and CEO wa Hennessy Bernard Peillon kwenye Gala dinner New York kabla ya kuja Johannesburg Miongoni mwa washiriki hao ambao pia walijumuika katika kuonja […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Ray C Foundation yasaidia vijana zaidi ya 70 kuachana madawa ya kulevya

DSC_0087

Mwanadada aliyewahi kung’ara kwenye tasnia ya muziki nchini na Afrika Mashariki, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akihojiwa na wandishi wa habari wakati wa kilele cha siku ya Kimataifa kupinga matumizi ya dawa za kulevya na usafirishaji, iliyofanyika Juni 26, Bagamoyo-Pwani.

Na Andrew Chale, Modewjiblog, Bagamoyo

Mwanadada aliyewahi kung’ara katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesema moja ya sababu iliyomfanya kuanzisha taasisi yake ya  kupambana madawa ya kulevya ya...

 

10 years ago

Michuzi

Vodacom yawezesha semina ya Daraja la Mafanikio kwa Vijana

Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akifafanua jambo wakati wa semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia kutafuta kazi katika makampuni makubwa na yale ya kimataifa....

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA‏

Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (wa pili kutoka kulia) akifuatilia semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia...

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali yakiri changamoto licha ya mafanikio ajira kwa vijana

IMG_9847

Meza kuu katika warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi  na Ajira,  Ally M. Ahmed, 

 

IMG_9768

 

IMG_9829

IMG_9690

 

IMG_0154

Mkurugenzi wa Salama Foundation, Shadrack John Msuya akiwasilisha mapendekezo ya vijana juu ya namna ambavyo vipaji, elimu na ubunifu vinavyoweza kutengeneza ajira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani