Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s72-c/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya BAF (Brigitte Alfred Foundation) na Miss Tanzania 2012,Bi. Brigitte Alfred akimtumza mmoja wa vijana wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambao wako chini ya Taasisi hiyo,aliekuwa akighani shairi alilolitunga,wakati wa hafla ya kusherehekea Mafanikio ya Vijana hao iliyofanyika leo kwenye Viwanja Makumbusho,Jijini Dar es Salaam.Taasisi ya BAF kupitia Mpango wake wa JA (Juniour Achievement) imeweza kuelimisha vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi katika mpango wa kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo517 Oct
Brigitte Alfred amtetea Miss TZ 2014, Sitti Mtemvu, ‘likikuchosha taji lilirudishe tu mpendwa’
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--cP_v7IvN30/Vco_gQrlh0I/AAAAAAAHwIE/CvLZZkaqaII/s72-c/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
IBF Africa, Miss Tanzania 2012 Brigitte Alfred waandaa ngumi za kulipwa kuchangia albino
9 years ago
MichuziTaasisis ya Brigitte Alfred yajenga Bweni la Watoto wenye ulemavu wa ngozi wa kituo Buhangija Mkoani Shinyanga
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zTNJcO4xRxA/VIse4Gb-DMI/AAAAAAAG2uo/5wGC5V3Z9sg/s72-c/FSA_0010.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YASHEREHEKEA MAFANIKIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-zTNJcO4xRxA/VIse4Gb-DMI/AAAAAAAG2uo/5wGC5V3Z9sg/s1600/FSA_0010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-17YbMQR2aK8/VIse4YfJnsI/AAAAAAAG2us/dMaafmXc7Z4/s1600/FSA_0072.jpg)
9 years ago
Bongo501 Sep
Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ray C Foundation yasaidia vijana zaidi ya 70 kuachana madawa ya kulevya
Mwanadada aliyewahi kung’ara kwenye tasnia ya muziki nchini na Afrika Mashariki, Rehema Chalamila ‘Ray C’ akihojiwa na wandishi wa habari wakati wa kilele cha siku ya Kimataifa kupinga matumizi ya dawa za kulevya na usafirishaji, iliyofanyika Juni 26, Bagamoyo-Pwani.
Na Andrew Chale, Modewjiblog, Bagamoyo
Mwanadada aliyewahi kung’ara katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila ‘Ray C’ amesema moja ya sababu iliyomfanya kuanzisha taasisi yake ya kupambana madawa ya kulevya ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FkOfy3ay_r0/VYhKU_p2kgI/AAAAAAAHilM/OG7VNU31Bbw/s72-c/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
Vodacom yawezesha semina ya Daraja la Mafanikio kwa Vijana
![](http://2.bp.blogspot.com/-FkOfy3ay_r0/VYhKU_p2kgI/AAAAAAAHilM/OG7VNU31Bbw/s640/unnamed%2B%252876%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaIy9lJ*vLdgluo4aJbnXZ37t9fxhkuVYcMlPP-lAr-0jm14vstyr8zkdB*4PlD1HCSJHHU2fLH7qchTN4kI-3kV/mafanikio1.jpg?width=650)
VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA
9 years ago
Dewji Blog19 Sep
Serikali yakiri changamoto licha ya mafanikio ajira kwa vijana
Meza kuu katika warsha ya vijana na ajira iliyofadhiliwa na Mpango wa Shirika la Utafiti wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka Canada (IDRC) na kuratibiwa na ESRF. Kutoka kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Kazi na Ajira kitengo cha Ajira, Joseph Nganga, Mkurugenzi wa Kazi katika Wizara ya Kazi na Ajira, Ally M. Ahmed,
Mkurugenzi wa Salama Foundation, Shadrack John Msuya akiwasilisha mapendekezo ya vijana juu ya namna ambavyo vipaji, elimu na ubunifu vinavyoweza kutengeneza ajira...