MANISPAA YA KINONDONI YASHEREHEKEA MAFANIKIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-zTNJcO4xRxA/VIse4Gb-DMI/AAAAAAAG2uo/5wGC5V3Z9sg/s72-c/FSA_0010.jpg)
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (aliyebeba kombe), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (wa pili kulia), Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Songoro Myonge (wa pili kushoto) na viogozi wengine wa Manispaa hiyo wakishangilia na kombe la ushindi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2014 kitaifa wakati wa hafla ya mafanikio ya Manispaa hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Halmashauri hiyo, Dar es Salaam juzi.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana akikabidhi cheti cha shukrani kwa Meya wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMEYA KINONDONI MH. YUSSUF MWENDA AFUTURISHA WANANCHI WA MANISPAA YAKE
Akizungumza wakati wa futari aliyoiandaa kwa wananchi wa Manispaa yake, viongozi wa Kiserikali na kidini, Dar es Salaam juzi Meya huyo alisema kuwa Manispaa yake ni kubwa na hivyo endapo watu watachukua maamuzi ya kusaidia watoto hao basi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s72-c/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana
![](http://3.bp.blogspot.com/-AbjF0fYWICo/VHSEbz3ba3I/AAAAAAAGzUo/D3F2C0PIG0A/s1600/DSC_0457%2Bcopy.jpg)
9 years ago
Bongo501 Sep
Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni
MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Manispaa Kinondoni yainunua Tesema FC
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni,imekuwa manispaa ya kwanza kwa jiji la Dar es Salaam kumiliki timu ya Daraja la Kwanza, baada ya kuinunu timu ya soka ya Tesema. Hatua hiyo...
10 years ago
Habarileo31 Jul
Manispaa ya Kinondoni wazindua bodi ya timu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imezindua Bodi ya timu ya Manispaa hiyo, KMC FC inayoshiriki daraja la kwanza Tanzania Bara ikiwa na wajumbe watano wakiwemo wazoefu kwenye soka nchini.
9 years ago
MichuziTAARIFA YA UBOMOAJI WA NYUMBA MANISPAA YA KINONDONI
11 years ago
GPLMANISPAA YA KINONDONI YAVUNJA VIBANDA-MWENGE
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JsctNEDJJBw/VOm5M3EKaRI/AAAAAAAHFKo/emkuBjHSgXY/s72-c/001.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...