MANISPAA YA KINONDONI YAVUNJA VIBANDA-MWENGE
Askari wakiwa makini kuhakikisha amani inakuwepo. Baadhi ya maaskari wakisimamia usafishwaji wa barabara za mwenge. Huu ni muonekano wa sasa wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog03 Jun
Kituo cha daladala Mwenge pamoja na vibanda vya pembeni vyabomolewa
Hivi ndivyo kituo cha Daladala cha Mwenge kilivyo bomolewa asubuhi ya leo.
Hiki kilikuwa Choo cha kulipia kilichokuwa Mwenge nacho kikiwa kimebomolewa.
Ulinzi ukiwa umeimarishwa.
Kazi ya Kubomoa na kuondoa vibanda ikiwa inaendelea Mwenge.
Askari wa FFU akiwa anazuia watu wasipite eneo ambalo kulikuwa na kazi ya Bomoa bomoa ikiendelea.
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ubomoaji ukiendelea.
Hili lilikuwa eneo la kupumzikia zamani la Abiria kungoja usafiri nacho kikiwa kimebomolewa.
10 years ago
Habarileo17 Oct
Kinondoni ya kwanza kitaifa mbio za Mwenge
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imewapongeza watendaji wake na wananchi kwa kufanikisha kikamilifu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo iliyopelekea manispaa hiyo kushika nafasi ya kwanza kitaifa katika mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu.
10 years ago
MichuziKIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU AZINDUA MRADI WA TANKI LA MAJI MANISPAA YA MOSHI
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Manispaa Kinondoni yainunua Tesema FC
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni,imekuwa manispaa ya kwanza kwa jiji la Dar es Salaam kumiliki timu ya Daraja la Kwanza, baada ya kuinunu timu ya soka ya Tesema. Hatua hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni
MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JsctNEDJJBw/VOm5M3EKaRI/AAAAAAAHFKo/emkuBjHSgXY/s72-c/001.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 50.1
Akiwasilisha taarifa ya bajeti hiyo mbele ya wajumbe wa mkutano wa maalum wa Baraza la Madiwani Dar es Salaam,Meya wa Manispaa wa Kinondoni, Yusuph Mwenda alisema kuwa mbali ya fedha hizo ambazo ni makusanyo ya ndani pia wanatarajia kupokea shilingi bilioni 128.6 ikiwa ni ruzuku...
10 years ago
GPLMADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO
10 years ago
Habarileo31 Jul
Manispaa ya Kinondoni wazindua bodi ya timu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imezindua Bodi ya timu ya Manispaa hiyo, KMC FC inayoshiriki daraja la kwanza Tanzania Bara ikiwa na wajumbe watano wakiwemo wazoefu kwenye soka nchini.