Manispaa ya Kinondoni wazindua bodi ya timu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imezindua Bodi ya timu ya Manispaa hiyo, KMC FC inayoshiriki daraja la kwanza Tanzania Bara ikiwa na wajumbe watano wakiwemo wazoefu kwenye soka nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziLAPF YAMWAGA VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU YA MANISPAA YA KINONDONI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sKlPjdrY4vY/VHx5W_O4ZFI/AAAAAAAG0nQ/d1pz7uiGcXA/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
UZINDUZI WA USHIRIKIANO KATI YA BODI YA UTALII TANZANIA NA TIMU YA SUNDERLAND YA NCHINI UINGEREZA WAKATI WA MECHI YAO NA TIMU YA CHELSEA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sKlPjdrY4vY/VHx5W_O4ZFI/AAAAAAAG0nQ/d1pz7uiGcXA/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA MASHINDANO KINONDONI CUP JIJINI DAR ES SALAAM , AKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 138
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Kampuni yaigomea Manispaa Kinondoni
MGOGORO wa Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam, kugawa eneo la Barabara ya Keko, Mikocheni ‘A’, Mtaa wa Tindiga kwa Kampuni ya Trans Auto Express Ltd, umeingia katika sura mpya....
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Manispaa Kinondoni yainunua Tesema FC
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni,imekuwa manispaa ya kwanza kwa jiji la Dar es Salaam kumiliki timu ya Daraja la Kwanza, baada ya kuinunu timu ya soka ya Tesema. Hatua hiyo...
9 years ago
MichuziADHA YA MBWENI JKT, MANISPAA YA KINONDONI
Na Kambi Mbwana, Dar es SalaamUPIGE mbizi,Ndivyo unavyoweza kusema msemo huu kama unahitaji kupita haraka haraka katika eneo la Mbweni JKT, wilayani Kinondoni, jijini Dar es Salaam, mahala panapojengwa daraja la kuvukia watu kwa miaka mitatu sasa, halina dalili za kukamilika hivi karibuni.
Ni eneo tata,Ni eneo linalokera na kusumbua watu mno, Mbaya zaidi, ni eneo lililozunguukwa na majumba ya watu wenye ukwasi au ukubwa wa majina ya viongozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zTNJcO4xRxA/VIse4Gb-DMI/AAAAAAAG2uo/5wGC5V3Z9sg/s72-c/FSA_0010.jpg)
MANISPAA YA KINONDONI YASHEREHEKEA MAFANIKIO YAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-zTNJcO4xRxA/VIse4Gb-DMI/AAAAAAAG2uo/5wGC5V3Z9sg/s1600/FSA_0010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-17YbMQR2aK8/VIse4YfJnsI/AAAAAAAG2us/dMaafmXc7Z4/s1600/FSA_0072.jpg)
10 years ago
GPLMADIWANI MANISPAA YA KINONDONI WAFANYA KIKAO
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...