Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg

WATANZANIA watatu ni miongoni mwa waalikwa wa sherehe za kutimiza miaka 250 ya mafanikio ya kuanzishwa kwa kinywaji maarufu kutoka Ufaransa, Hennessy, sherehe ambayo iliyofanyika Johannesburg, Afrika Kusini hivi karibuni. Nas and CEO wa Hennessy Bernard Peillon kwenye Gala dinner New York kabla ya kuja Johannesburg Miongoni mwa washiriki hao ambao pia walijumuika katika kuonja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Hennessy celebrates 250 years in Dar

Guests and Hennessy enthusiasts  got together at the Hyatt Regency Hotel in Dar es Salaam last night to celebrate the 250th birthday of the French cognac made since 1765.  Guests tinkled in leisurely while smooth jazz music played discreetly in the background as we sipped on our Hennessey mojitos while waiting for the four course meal to begin.

 

9 years ago

Michuzi

HENNESSY'S 250 YEARS EXHIBITION AT OASIS BAR MASAKI, DAR ES SALAAM

The owner of Oasis Bar and Lounge Nuru Mosha clarifying something to journalists at the The Hennessy 250's  Exhibitions.

Some pictures related to Hennessy
The Amazing Hennessy bottleSome paints related to Hennessy The event was accompanied by live music
The Hennessy' s bar at Oasis Masaki*************By Staff Reporter The four-day exhibition to mark the 250 years of Hennessy was launched in Dar es Salaam this Monday,  at Oasis Bar, Masaki and it has attracted many people including artists,...

 

10 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YASHEREHEKEA MAFANIKIO YAKE

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (aliyebeba kombe), Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana (wa pili kulia), Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Songoro Myonge (wa pili kushoto) na viogozi wengine wa Manispaa hiyo wakishangilia na kombe la ushindi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2014 kitaifa wakati wa hafla ya mafanikio ya Manispaa hiyo iliyofanyika Makao Makuu ya Halmashauri hiyo, Dar es Salaam juzi.Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana akikabidhi cheti cha shukrani kwa Meya wa...

 

10 years ago

Michuzi

Brigitte Alfred Foundation yasherehekea mafanikio ya Vijana

Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya BAF (Brigitte Alfred Foundation) na Miss Tanzania 2012,Bi. Brigitte Alfred akimtumza mmoja wa vijana wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambao wako chini ya Taasisi hiyo,aliekuwa akighani shairi alilolitunga,wakati wa hafla ya kusherehekea Mafanikio ya Vijana hao iliyofanyika leo kwenye Viwanja Makumbusho,Jijini Dar es Salaam.Taasisi ya BAF kupitia Mpango wake wa JA (Juniour Achievement) imeweza kuelimisha vijana 50 wenye ulemavu wa ngozi katika mpango wa kutoa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru

Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.

 

11 years ago

Michuzi

TANZANIA MITINDO HOUSE YASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 7

 Sehemu ya Watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Tanzania Mitindo Houshe chini yake Mwanamitindo nguli hapa nchini,Khadija Mwanamboka wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasimamizi wao wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka 7 ya kituo hicho iliyofanyika mwishoni mwa wiki,Msasani jijini Dar es Salaam.
 Sehemu ya watoto hao wakifurahia kwa pamoja michezo mbali mbali iliyokuwepo.
 Taswira ya mtoto akiwa kachora uso wake.
Mlezi wa Tanzania Mitindo House,Mwanamitindo,Khadija Mwanamboka...

 

10 years ago

Michuzi

HOME GYM MWENGE YASHEREHEKEA MIAKA 17 TANGU KUANZISHWA

 Washiriki wa Jogging iliyoandaliwa na kituo cha mazoezi ya viungo cha Home Gym Mwenge jijini Dar es Salaam kilichopo chini ya Andrew Mangomango (kulia) kwa lengo la kuhamasisha umuhimu wa mazoezi kwa ajili ya afya ya mwili na akili ambapo kituo hicho kimetimiza miaka 17 tangu kuanzishwa, mbio hizo zilianzia Mlimani City na kuishia ufukwe wa Escape One. (Picha na Francis Dande)  Washiriki wakiwa katika Jogging.

 Washiriki wakiwa katika Jogging.Wanachama wa kituo cha mazoezi ya viungo cha Home...

 

10 years ago

Michuzi

CLOUDS FM YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 15 TANGU KUANZISHWA KWAKE.

Mmoja wa Watangazaji machachari wa Clouds FM,Adam Mchomvu akitoa muongozo mfupi kwa baadhi ya Wafanyakazi wenzake waliomzunguka,kuhusiana na ukataji na ulaji wa Ndafu kama ionekavyo pichani,wakati wa hafla ya kutimiza miaka 15 ya kituo cha redio ya Clouds FM,tangu kuanzishwa kwake nchini.Redio hiyo imejizolea umaarufu mkubwa Afrika Mashariki na Kati na Duniani kwa ujumla.
Globu ya Jamii inaitakia kheri na fanaka Clouds FM katika kusherehekea miaka 15 tangu kuzaliwa kwake. Ndafu wa...

 

11 years ago

GPL

BENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2

Keki iliyoandaliwa na uongozi wa Benki ya CRDB tawi la Ubungo kwa ajili ya sherehe za kutimiza miaka 2 tangu kuanzishwa kwa tawi hilo, ambapo wateja wa benki hiyo walijumuika na wafanyakazi wa tawi hilo kusherehekea kwa pamoja.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani