TANZANIA MITINDO HOUSE YASHEREHEKEA KUADHIMISHA MIAKA 7
![](http://3.bp.blogspot.com/-91aWODzqfyw/VBlzzyEcqKI/AAAAAAAAnKg/iNhB9G-Rw54/s72-c/unnamed.jpg)
Sehemu ya Watoto yatima wanaolelewa na Kituo cha Tanzania Mitindo Houshe chini yake Mwanamitindo nguli hapa nchini,Khadija Mwanamboka wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wasimamizi wao wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka 7 ya kituo hicho iliyofanyika mwishoni mwa wiki,Msasani jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya watoto hao wakifurahia kwa pamoja michezo mbali mbali iliyokuwepo.
Taswira ya mtoto akiwa kachora uso wake.
Mlezi wa Tanzania Mitindo House,Mwanamitindo,Khadija Mwanamboka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s72-c/Betty+Boniface.jpg)
Miss Universe Tanzania washiriki fashion show Moscow ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-det3U3Cwom4/U1pa3ke02mI/AAAAAAACfgE/DnKs_QGaTlM/s1600/Betty+Boniface.jpg)
Warembo wawili wa waliowahi kushinda taji la Miss Universe, Nelly Kamwelu na Betty Boniface leo (Jumamosi) watapanda jukwaani mjini Moscow, Urusi kushiriki katika maonyesho ya mavazi ya kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Warembo hao waliondoja nchini juzi na tayari wapo mjini Moscow kwa ajili ya maonyesho hayo ambayo pia yatashirikisha waonyesha mavazi mbali mbali wa Tanzania.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Compass Communications, Maria...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s72-c/IMG_0870.jpg)
MKUU WA MKOA WA RUKWA ASHIRIKIANA NA UVCCM KATIKA MBIO ZA UZALENDO TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ljn5rxOqX2k/U0L5BP5nrYI/AAAAAAAAFRM/hUL4WtQTJVU/s1600/IMG_0870.jpg)
9 years ago
MichuziMFUKO WA VYOMBO VYA HABARI TANZANIA KUADHIMISHA MIAKA NANE YA MAFANIKIO
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
Tanzania yaungana na mataifa mengine kuadhimisha miaka 70 ya usafiri wa anga duniani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaaban Mwinjaka akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam kuhusu maadhimisho ya miaka 70 ya Usafiri wa anga duniani yanayoendelea nchini na namna Serikali kupitia Mamlaka ya Anga Tanzania (TCAA) ilivyojipanga kuhakikisha usalama wa ndege na abiria wanaotumia anga la Tanzania.
Tanzania inaungana na nchi nyingine duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya usafiri wa anga, (International Civil Aviation Day) ambayo huadhimishwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R5SqbRTCmAHPaOicyQVufejlD4i8hSUMAOFUMa8PebDXV4IuB5pY1E0PqZlNzgQ2OFZ8GtuoVPOFB-3cwcTAb9-HZdvUtd*7/Anga1.jpg?width=650)
TANZANIA YAUNGANA NA MATAIFA MENGINE KUADHIMISHA MIAKA 70 YA USAFIRI WA ANGA DUNIANI
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Mfuko wa vyombo vya Habari Tanzania (TMF) kuadhimisha miaka nane ya mafanikio
Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari Tanzania (TMF), Ernest Sungura akiongea kwenye mkutano na waandishi wa habari kutangaza tukio hilo, ameeleza Tarehe 22 Septemba, 2015 tutakuwa na tukio la madhimisho ambayo yatajumuisha maonyesho kwa ajili ya waandishi wa habari waliowezeshwa na misaada ya TMF kuonyesha kazi zao na jinsi gani zimechangia kuleta uwajibikaji na pia kuonyesha kazi ambazo zimepandisha kiwango cha mijadala ya umma katika masuala husika hususani utawala bora na haki za...
11 years ago
BBCSwahili12 Dec
Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru
9 years ago
Bongo501 Sep
Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg
11 years ago
GPLBENKI YA CRDB TAWI LA UBUNGO YASHEREHEKEA KUTIMIZA MIAKA 2