Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER AMCHANA CHUCHU!

Mwandishi wetu SIASA katika ubora wake! Nyota wa filamu nchini, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’ amemchana staa mwenzake, Chuchu Hans kufuatia kutofautiana kiitikadi kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na Ukawa. Nyota wa filamu nchini, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’. Awali, Chuchu Hans alitangaza kuhamia Ukawa (Umoja wa Katiba ya Wananchi) na kushiriki kikamilifu kwenye uzinduzi wa kampeni zao...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nora: Wema, Lulu, Wolper wanaweza, Batulli, Aunt Ezekiel, Chuchu Hans hamna kitu!

Muigizaji wa filamu nchini, Nuru Nassoro maarufu kama Nora anaweza akawa ameshaongeza matatizo mengi kuyazidi 99 ya Jay Z. Kwenye kipindi cha hivi karibuni cha Mkasi, Salama Jabir alimuuliza swali gumu kwake la kuwataja wasanii wa filamu wanaofaa na wasiofaa. Nora alikataa kutaja akijitetea kuwa hataki beef na mtu lakini watangazaji wa show hiyo walimrahisishia […]

 

10 years ago

Bongo Movies

HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka

Inasemekana penzi kati ya waigizaji  Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.

Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.

Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...

 

10 years ago

GPL

NORA AMCHANA KAJALA

Stori: Mwandishi wetu
MWIGIZAJI kiwango enzi hizo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ aliyepotea kwa muda, ameibukia kwenye Runinga ya EATV na kumbutua staa wa mwenzake, Kajala Masanja kwamba, anatumia nafasi ya kuonekana kwenye filamu kujipatia wanaume kama si mabwana! Staa wa filamu Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza kupitia Kipindi cha Mkasi kinachoratibiwa na Mtangazaji Salama Jabir, Jumatatu iliyopita, Nora alisema...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!

"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini  na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.

Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...

 

10 years ago

GPL

MUME AMCHANA LIVE DAVINA

Waandishi wetu
KIMENUKA! Mume wa muigizaji nyota wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’, Abdallah Shakoor ambaye amekuwa kimya tangu kuenea kwa madai ya mkewe kutoka na staa mwenzake, Mike Sangu, hatimaye amefunguka kuhusu skendo hiyo na kudai anafuatilia kila hatua ya wawili hao na hivi karibuni atatoa msimamo wake. Muigizaji nyota wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’. Chanzo chetu makini...

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif ‘amchana’ Profesa Lipumba

Katibu Mkuu wa CUF na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharrif Hamad amesema ameshangazwa na sababu zilizotolewa na Profesa Ibrahim Lipumba aliyejivua uenyekiti wa chama hicho, kuwa amechukizwa na kitendo cha kukaribishwa kwa makada wa CCM ndani ya Ukawa.

 

11 years ago

GPL

OLE MEDEYE AMCHANA LEMA, ADAI AMEKULIA GHETO

Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. MBUNGE wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye, amemchana Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema hivi punde bungeni kuwa…

 

9 years ago

Bongo5

Future amchana Ciara, adai anapenda kutawala wanaume

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Future amemchana baby mama wake, Ciara kwa kudai kuwa muimbaji huyo amekuwa na tabia za kutaka kutawala wenzake na amekuwa akimzuia kumuona mtoto wao wa kiume mwenye mwaka mmoja.

rs_560x415-140903152311-1024.future-ciara-reconcile-090314

Rapper huyo ametumia Twitter kutoa malalamiko yake ambako anadai amekuwa akitoa $15,000 kwaajili ya matunzo ya mtoto.

0103-future-tweets-3

Amedai kuwa amekuwa mkimya kwa mwaka mzika na kwamba sasa uvumilivu umemshinda na anamtaka mwanae.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani