Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHAMSA ATESWA NA GENEVIEVE

  Na Nyemo Chilongani MUIGIZAJI wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka anaumia sana na mafanikio ya waigizaji wa Nigeria kama Genevieve kwani ndoto yake ni kufanya zaidi ya wao. Mwigizaji wa Bongo Movies, Shamsa Ford. Shamsha alifunguka hayo wiki iliyopita na kudai kila siku wasanii wa nyumbani wamekuwa wakishindwa kufika levo za mastaa hao kwa kutokuwa na mipango endelevu.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa

Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford  na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.

Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...

 

10 years ago

GPL

PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO

Musa mateja na imelda mtema
Penzi matata linalowanyima usingizi baadhi ya watu mjini kwa sasa kati ya mwigizaji wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford na mkali wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe, Ijumaa limesheheni. Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego na Shamsa Ford wakipozi kimahaba. TATIZO MAHABA NIUE
...

 

10 years ago

GPL

GENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA

Staa wa filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. MASTAA wawili wanaotikisa Nollywood, Omotola Ekeinde pamoja na Genevieve Nnaji inadaiwa hawapatani hata kidogo ‘chui na paka.’Chanzo kinafunguka kuwa japokuwa hivi karibuni Rais wa Chama cha Waigizaji Nigeria, Ibinabo Fiberesima alilazimika kuingilia kati na kuwakusanya pamoja lakini imekuwa vigumu. Muigizaji wa filamu za Kinigeria, Omotola Jalade. “Genevieve...

 

9 years ago

GPL

GENEVIEVE NNAJI AZUNGUMZIA ISHU YA KUOLEWA

Queen wa Filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. Lagos, Nigeria
QUEEN wa Filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji, hivi karibuni amefunguka kuwa hana mpango wa kuolewa, maana bado hajampata mwanamme wa kuanza naye maisha ya ndoa. Genevieve, 36, aliyazungumza hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akifanya mahojiano na mtandao mmoja wa kiburudani wa Nollywood, hasa pale alipoulizwa kama alikuwa na mpango wa kuolewa hivi karibuni....

 

9 years ago

Global Publishers

Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80

image

Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.

MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.

Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.

Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.

 

11 years ago

Bongo5

Genevieve Nnaji ashambuliwa kwa kuziponda filamu za Nigeria

Muigizaji wa filamu wa Nigeria, Genevieve Nnaji amelazimika kujitetea baada ya kunukuliwa kwenye mahojiano akiziponda filamu za Nigeria. Kwenye mahojiano hayo, Genevieve ambaye ni miongoni mwa waigizaji wenye fedha zaidi nchini humo alidai kuwa haonekani kwenye filamu mpya kwakuwa hajapata script inayomfaa na kwamba tasnia ya filamu nchini humo haikui. “Ninaziunga mkono filamu ambazo zinazonesha […]

 

9 years ago

Bongo5

Mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji (36) azungumzia sababu za kwanini bado hajaolewa

Mwigizaji superstar wa Nigeria, Genevieve Nnaji amezungumzia kuhusu maisha yake ya mapenzi na mipango ya ndoa. Genevieve ni msichana mrembo na aliyefanikiwa kimaisha kupitia filamu pamoja na biashara zake nyingine ikiwemo mitindo, lakini katika umri wa miaka 36 alionao sasa bado hajabahatika kuolewa. Staa huyo ambaye kwa sasa anapromote filamu yake mpya ‘Road To Yesterday’ […]

 

11 years ago

GPL

JB ATESWA NA MAJUNGU

Na Imelda Mtema
BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ amenyanyua kinywa chake na kutamka kuwa anateswa na majungu katika fani hivyo angekuwa na mbadala wa kazi, angechepuka. BABA la baba, Jacob Steven ‘JB’ Akistorisha na gazeti hili hivi karibuni, JB alisema licha ya umri wake mkubwa katika tasnia ya filamu lakini suala la majungu limekuwa likimtesa na mbaya zaidi ni ngumu kulidhibiti. “Kusema ukweli...

 

9 years ago

GPL

GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV

Waigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, Ramsey Nouah (kushoto) Rita Dominic na Desmond Elliott wakiwa nchini Mauritius. Nguli hao wakiwa katika pozi. Rita na Desmond.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani