SHAMSA ATESWA NA GENEVIEVE
![](http://api.ning.com:80/files/79FAz6LP6HhLhdbeFsHx-2ENc9KweIr8k2lgLVCJuLQO5VONnv4E0tK7gIsFcFZ4WUke9KsZl5QEHOsdtSBdDX7CS-umNyNQ/shamsa.jpg?width=650)
 Na Nyemo Chilongani MUIGIZAJI wa Bongo Movies, Shamsa Ford amefunguka anaumia sana na mafanikio ya waigizaji wa Nigeria kama Genevieve kwani ndoto yake ni kufanya zaidi ya wao. Mwigizaji wa Bongo Movies, Shamsa Ford. Shamsha alifunguka hayo wiki iliyopita na kudai kila siku wasanii wa nyumbani wamekuwa wakishindwa kufika levo za mastaa hao kwa kutokuwa na mipango endelevu.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhvVq8FWRvQvkm8yteaMqCsQcVPGBaznIAly7u77pSRlQUnCxyQg7lOCQRkiwgo9xFRUEPDvCBoJ8X5xqp3zTgP/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6qNOPZKNgNyYri2TRMJCp0hUiH5RPoYoNEzLop4Mi952C9abue5sZb8XhLq-oRaRq-9d0570YpNpDRAPtDT7ofi/Genevieve.jpg?width=650)
GENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hnZ2zBlGGNXUWAkCMd9VZll0Ob6KtDGmCHCHpZlAHNiZx9FcBdmn96T-EVjHRlPm57iijUdmyqTYMqzxn5L4gfiDKZgtCEsL/GenevieveNnajiNovember2013BellaNaija022.jpg?width=650)
GENEVIEVE NNAJI AZUNGUMZIA ISHU YA KUOLEWA
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80
Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.
MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.
Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.
Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.
11 years ago
Bongo505 Jul
Genevieve Nnaji ashambuliwa kwa kuziponda filamu za Nigeria
9 years ago
Bongo524 Oct
Mwigizaji wa Nigeria Genevieve Nnaji (36) azungumzia sababu za kwanini bado hajaolewa
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfgzDaIjLDjN5QqMAmfh2ygba6F95FZv85uQLZXbXfeW5hTC-0KkRBGUdy39hfXNHgD5LB7DEc60SAiHM15W*HMs/jb.jpg?width=650)
JB ATESWA NA MAJUNGU
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/rita-dominic-ramsey-nouah-mauritius-1.jpg)
GENEVIEVE NNAJI, RAMSEY NOUAH, DESMOND ELLIOTT NA RITA DOMINIC WAINADI DSTV