7. MATAPELI WANAVYOIBA KUPITIA MAHAUSIGELI
![](http://api.ning.com:80/files/UZ8UQ2FXhhPh-ZvyarQ8z5zrYRZ0wW16*GfpbLTLsTzcTqiVeLCbQhjD9vqpT0t3VpKiqp5E0Kd4wl2YDIt45EzIaX6yQ6c5/tanzaniterings.jpg?width=650)
UKIWA una dhahabu, yaani hereni, mikufu, pete ama bangili za dhahabu basi unatakiwa kusoma mkasa huu ili ukampe somo ‘hausigeli’ wako na achukuwe tahadhari atakapokutana na matapeli ambao hupenda kuwachota akili na hatimaye kujikuta mkiibiwa. Matapeli wa madini mara nyingi hutumia akili sana kukuibia. Hufanya utafiti na kujua nani katika mtaa fulani ana mkufu, hereni, pete au bangili za dhahabu. Kabla ya kukuibia...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M33tnOMnaeCBuNXPjzOb2RQ9pq7LNg5xu3BAo-yge7PitOXUMFSSouVw7eF69eTtyBMhHgQ8hFQSxbJUkuIc72aF/Mbaroni.jpg?width=650)
MBARONI KWA KUTESA MAHAUSIGELI
10 years ago
Bongo Movies08 May
Matapeli Wamlostisha Snura
Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, Snura Mushi ‘Mama wa Majanga’ amefunguka kwa kusema kuwa mtu aliyeteka namba yake ya simu na kuitumia akiomba fedha na kuitumia kama ni yeye amemfanye apate matatizo na usumbufu usio na manufaa zaidi ya kumkera katika shughuli zake.
“Aliyenifanyia ujinga wa kuharibu namba yangu ya simu na kuanza kuitumia yeye kama mimi si siri amenitia umaskini kwa wakati ule kwani baadhi ya wateja wa kazi zangu walikuwa wakitumia kwa mawasiliano na mimi, lakini...
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Matapeli 15 wa viwanja wadakwa
10 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Matapeli hawa wasakwe
MOJA ya habari zilizimo kwenye Gazeti hili leo, inazungumzia kuibuka kwa kundi la matapeli linaloliza watu mamilioni ya fedha kwa kisingizio kwamba wanaweza kuwasaidia kupata ajira katika baadhi ya idara...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pVOWqi0dq18Kmi4uAEdClwq11yB7YhvPRlJMpS76HMB2bFG9NM*DSHVhm-IH3KC9jhANrAvoYNjczo5XmOHvotRwp9GKPhia/nora.jpg?width=650)
NORA ATESWA NA MATAPELI
9 years ago
Habarileo02 Sep
Tasaf yadhibiti matapeli
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) katika Manispaa ya Kigoma umesema umeweza kudhibiti udanyanganyifu wa majina ya watu ambao hawapaswi kuhudumiwa na mfuko huo katika mpango wa kusaidia kaya masikini.
9 years ago
Habarileo03 Sep
Magufuli: Epukeni matapeli wa kisiasa
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, amewataka Watanzania kuwa makini wasije kudanganywa na matapeli wa kisiasa watakaokuja na ahadi za uongo.
11 years ago
Tanzania Daima11 Apr
Matapeli wa kuunganisha umeme waibuka
SHIRIKA la Umeme nchini (Tanesco) limewataka wananchi kuwa makini na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu ambao wanawarubuni wanaotaka kufungiwa umeme katika makazi yao kwa kuwadanganya kwamba wanaweza kuwasaidia kwa...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Matapeli ya mikopo waliza watu 10
WATU zaidi ya 10 wametapeliwa fedha, walizotuma kwa mtandao baada ya kurubuniwa kuwa wangepata mikopo katika taasisi, iliyojitambulisha kwa jina la Savings Foundation Loans na kudai ofisi zake ziko katika Jengo la Utumishi.