Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Epukeni matapeli wa kisiasa

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, amewataka Watanzania kuwa makini wasije kudanganywa na matapeli wa kisiasa watakaokuja na ahadi za uongo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aliibuliwa na wazee kisiasa

Asili ya Kijiji cha Rubambangwe kilichopo Wilaya ya Chato Mkoani Geita ni eneo lililotumiwa na wawindaji baada ya shughuli zao kwa ajili ya kuwamba ngozi za wanyama mbalimbali.

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI

 Mwenyekiti wa Taasisi ya Amani Tanzania Sadiki  Godigodi(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo Mei 20 jijini Dar es Salaam wakati akielezea taasisi hiyo inavyomuunga mkono Rais Dk.John Magufuli katika mapambano dhidi ya janga la Corona.Katikati ni Mkurugenzi wa Siasa na Dini wa taasisi hiyo Alhaji Dk.Sule Seif na kushoto ni Mshauri wa taasisi hiyo Issa Mkalinga.
 Mshauri wa Taasisi ya Amani Tanzania Issa Mkalinga (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo.Wengine ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni tiba za kitapeli’

MKURUGENZI wa Kitengo cha Tiba Asili na Tiba Mbadala, Dk. Poul Mhare, amewataka wananchi kujiepusha na matapeli wanaoweka mabango barabarani na kujifanya wanatibu magonjwa mbalimbali kwa tiba asilia. Alitoa kauli...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Epukeni propaganda za CCM’

MKURUGENZI wa Sera na Utafiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwitara Waitara amewataka wananchi kujihadhari na propaganda zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchakato wa Katiba mpya....

 

10 years ago

Mwananchi

‘Epukeni uzalishaji wa mazao sumu’

Wakulima nchini wametakiwa kuepuka kuzalisha mazao yenye sumu asili inayoweza kuathiri afya ya walaji.

 

11 years ago

Habarileo

Epukeni uvunjifu wa amani -Makamba

Januari MakambaWANANCHI mkoani Kagera wameaswa kulinda amani kwa kuepuka uvunjifu wa amani, kutokana na tofauti za kidini au kisiasa.

 

11 years ago

Habarileo

Spika- Wabunge wanawake epukeni Ukimwi

SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewafunda wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba dhidi ya vitendo vinavyoweza kuwavunjia heshima na kuwaambia Ukimwi upo na umekithiri. Makinda, ambaye hiki ni kipindi chake cha nane akiwa bungeni, alitoa hadhari hiyo jana mjini hapa kwenye semina ya wajumbe wanawake wa Bunge hilo.

 

10 years ago

Habarileo

Epukeni matumizi yanayokatisha tamaa wananchi-RC

WAKURUGENZI wa halmashauri za mkoa wa Kagera wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo fedha za michango ya ujenzi wa maabara na kuepuka matumizi yanayowakatisha tamaa wananchi wenye moyo wa kuchangia.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watumishi wa umma epukeni siasa kazini

MIONGONI mwa habari zinazogonga vichwa vya habari kwa takriban mwezi mmoja sasa, ni kuhusu makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutangaza nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani