Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Epukeni matumizi yanayokatisha tamaa wananchi-RC

WAKURUGENZI wa halmashauri za mkoa wa Kagera wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo fedha za michango ya ujenzi wa maabara na kuepuka matumizi yanayowakatisha tamaa wananchi wenye moyo wa kuchangia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Wananchi epukeni na nishati hatarishi kwa mazingira-Prof.Itika

Na mwandishi wetu, Dar es Salaam.WATEAFITI, Watungasera, Wanasheria na makundi mengine ya wataalam wamehimizwa kufanya jitihada ya kweli kuwaepusha wananchi na matumizi ya nishati hatarishi kwa mazingira na badala yake watumie nishati endelevu.Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Mzumbe, Profesa Josephat Itika,  alisema Watanzania maskini wanalazimika kutumia nishati hatarishi kwa mazingira na kupunguza kipato chao kwa sababu hawapati  nishati endelevu.“Watu wenye kipato kizuri ndiyo kwa kiasi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wananchi Same Mashariki wamekata tamaa’

MWANAHARAKATI na mdau wa maendeleo ya wananchi wa Same Mashariki, Allan Mmanyi ‘Mkombozi’ amesema hali ya maisha ya wakazi wa vijiji vingi vya Same Mashariki inasikitisha kwa kuwa wengi wao...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa

Anasema hali hiyo si nzuri na inatoa changamoto mpya katika vita dhidi ya rushwa hasa kutokana na wananchi wengi kupoteza imani katika vita hiyo, kwa kuwa ndiyo wanaoathirika moja kwa moja na hawaoni hatua zozote madhubuti kukomesha na kuwashughulikia watuhumiwa wa matukio hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi walicharukia Bunge la #Katiba, wataka liache tamaa, lisipoteze muda [VIDEO]

VITENDO vinavyofanywa na wajumbe wa Bunge la Katiba vinadhihirisha hawakwenda Dodoma kutengeneza Katiba Mpya, bali wako mjini hapa kimaslahi zaidi. 

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka mapato, matumizi

Mkutano wa mwaka wa Kijiji cha Chalikani, Kata ya Maweni, Halmashauri ya Jiji la Tanga umevunjika baada ya wananchi kutaka kwanza kusomewa taarifa ya mapato na matumizi.

 

10 years ago

Habarileo

RC asisitiza wananchi kusomewa mapato na matumizi

Mkuu Mkoa wa Singida, Dk Parseko KoneSERIKALI za vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuwasomea wananchi wake kwa mujibu wa taratibu taarifa za mapato na matumizi ya makusanyo mbalimbali wanayofanya ili kuondoa malalamiko yoyote yasiyo ya lazima.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha

WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi waaswa kuachana na Matumizi ya Vipimo visivyo Rasmi

DSCI0058

Kaimu Meneja Sehemu ya Habari toka Wakala wa Vipimo Bi. Irene John akiwaeleza jambo waandishi wa Habari (hawapo pichani) na kuwatahadharisha wananchi kuhusu matumizi ya vipimo batili unaofanywa kwa kusutumia visado na ndoo za Plastiki. Wanaofuata Kushoto kwake ni Afisa Habari Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Mvungi,Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Bw. Peter Masinga na Mwisho ni Meneja wa Upimaji Bw. Richard Kadeghe.

DSCI0084

Mkuu wa Kitengo cha Sheria Toka Wakala wa Vipimo Bw. Moses Mbunda akiwaeleza...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano

Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano na udanganyifu katika usajili wa namba za simu za mkononi kwa kuwa ni kosa la jinai.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa  Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani