Epukeni matumizi yanayokatisha tamaa wananchi-RC
WAKURUGENZI wa halmashauri za mkoa wa Kagera wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ipasavyo fedha za michango ya ujenzi wa maabara na kuepuka matumizi yanayowakatisha tamaa wananchi wenye moyo wa kuchangia.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi11 Oct
Wananchi epukeni na nishati hatarishi kwa mazingira-Prof.Itika
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
‘Wananchi Same Mashariki wamekata tamaa’
MWANAHARAKATI na mdau wa maendeleo ya wananchi wa Same Mashariki, Allan Mmanyi ‘Mkombozi’ amesema hali ya maisha ya wakazi wa vijiji vingi vya Same Mashariki inasikitisha kwa kuwa wengi wao...
10 years ago
Mwananchi03 Dec
Wananchi wamekata tamaa vita dhidi ya rushwa
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Wananchi walicharukia Bunge la #Katiba, wataka liache tamaa, lisipoteze muda [VIDEO]
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Wananchi wataka mapato, matumizi
10 years ago
Habarileo31 Aug
RC asisitiza wananchi kusomewa mapato na matumizi
SERIKALI za vijiji mkoani Singida zimetakiwa kuwasomea wananchi wake kwa mujibu wa taratibu taarifa za mapato na matumizi ya makusanyo mbalimbali wanayofanya ili kuondoa malalamiko yoyote yasiyo ya lazima.
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Wananchi walalamikia matumizi mabaya ya fedha
WANANCHI wilayani Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha madiwani wa wilaya hiyo, kutumia fedha na kuunda tume ya watu watatu, akiwemo mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Joseph Malimbe, kwenda kumuona Katibu...
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wananchi waaswa kuachana na Matumizi ya Vipimo visivyo Rasmi
Kaimu Meneja Sehemu ya Habari toka Wakala wa Vipimo Bi. Irene John akiwaeleza jambo waandishi wa Habari (hawapo pichani) na kuwatahadharisha wananchi kuhusu matumizi ya vipimo batili unaofanywa kwa kusutumia visado na ndoo za Plastiki. Wanaofuata Kushoto kwake ni Afisa Habari Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Mvungi,Mkurugenzi wa Idara ya Ufundi Bw. Peter Masinga na Mwisho ni Meneja wa Upimaji Bw. Richard Kadeghe.
Mkuu wa Kitengo cha Sheria Toka Wakala wa Vipimo Bw. Moses Mbunda akiwaeleza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s72-c/3.jpg)
Serikali yawatahadharisha wananchi kuhusu matumizi mabaya ya Mawasiliano
![](http://4.bp.blogspot.com/-necLNKrGp-E/VA2tZHvdYpI/AAAAAAAGh3s/iP30Kk0AWk0/s1600/3.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) bw. Innocent Mungy amesema kumekuwa na watu wachache wanaotumia mawasiliano pasipo kuzingatia sheria na kanuni.
Kumekuwa na matukio yanayoashiria kutumika kwa mitandao ya kijamii kuleta madharambalimbali kwa watumiaji...