Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk Magufuli aliibuliwa na wazee kisiasa

Asili ya Kijiji cha Rubambangwe kilichopo Wilaya ya Chato Mkoani Geita ni eneo lililotumiwa na wawindaji baada ya shughuli zao kwa ajili ya kuwamba ngozi za wanyama mbalimbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Epukeni matapeli wa kisiasa

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli, amewataka Watanzania kuwa makini wasije kudanganywa na matapeli wa kisiasa watakaokuja na ahadi za uongo.

 

9 years ago

Habarileo

Wazee wampa baraka Magufuli

WAASISI na wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemtakia kila la heri Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kutekeleza majukumu yake vyema ya kuwatumikia wananchi wote wa Tanzania akiwa Rais wa Awamu ya Tano.

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli alivyowakuna wazee, walemavu Mwanza

AHADI za kuanza kuwalipa wazee wote pensheni na kulinda maslahi ya watu wenye ulemavu wakiwamo we

Christopher Gamaina

 

9 years ago

CCM Blog

BARAZA LA WAZEE DAR LAMPONGEZA DK MAGUFULI KWA USHINDI



 Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa baraza hilo wa kumpongeza  Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli kwa ushindi alioupata katika katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25. Kutoka kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa mkoa huo, Juma Simba na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida ambao walikuwa wajumbe waalikwa. (PICHA ZOTE NA...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ALIPOTAMBULISHWA KWA WAZEE WA DAR, UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE

 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati  Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati  Pongezi kwa mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuogea   Meza kuu…

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake Mkoani Mtwara kuelekea jimbo la Ndanda kupitia jimbo la Mtama, wazee wameshindwa kuzuia hisia zao kwa Rais Magufuli kwa kuonesha nia ya kutaka kumchangia gharama za fomu za Urais mwaka 2020.

Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...

 

5 years ago

Michuzi

TAASISI YA AMANI TANZANIA YAWATAKA WANASIASA KUACHA KUTUMIA JANGA LA CORONA KAMA MTAJI WA KISIASA, WAUNGA MKONO HOTUBA YA RAIS MAGUFULI

 Mwenyekiti wa Taasisi ya Amani Tanzania Sadiki  Godigodi(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari leo Mei 20 jijini Dar es Salaam wakati akielezea taasisi hiyo inavyomuunga mkono Rais Dk.John Magufuli katika mapambano dhidi ya janga la Corona.Katikati ni Mkurugenzi wa Siasa na Dini wa taasisi hiyo Alhaji Dk.Sule Seif na kushoto ni Mshauri wa taasisi hiyo Issa Mkalinga.
 Mshauri wa Taasisi ya Amani Tanzania Issa Mkalinga (kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mkutano huo.Wengine ni...

 

10 years ago

Vijimambo

MATUKIO KATIKA PICHA YA MTANANGE WA WAZEE WA KUNDUCHI YANGA 0 NA WAZEE WA SAUZI SIMBA 0

Beki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ (kulia), akiondosha mpira wa hatari katika eneo la langoni kwake huku mshambuliaji wa Simba, Elius Maguri (katikati) akijaribu kunyoosha guu ili kupiga mpira huo bila mafanikio wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliomaliziki jioni ya leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, bila timu hizo kufungana. Kushoto ni Kelvin Yondan, akijiandaa kutoa msaada.

MATOKEO KAMILI YA MECHI ZA LIGI KUU KATIKA VIWANJA SITA HII LEO:-

YANGA 0- SIMBA 0
NDANDA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani