Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli alivyowakuna wazee, walemavu Mwanza

AHADI za kuanza kuwalipa wazee wote pensheni na kulinda maslahi ya watu wenye ulemavu wakiwamo we

Christopher Gamaina

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Walemavu, wazee, wasanii wasema ‘asante JPM’

Kwa mara ya kwanza, Rais John Magufuli amemteua mtu mwenye ualbino, Dk Possy Abdallah katika Baraza la Mawaziri kuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu.

 

10 years ago

Vijimambo

WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Michuzi

MAELFU WAKAZI WA JIJI LA MWANZA WAJITOKEZA KUMLAKI KWA SHANGWE DKT MAGUFULI JIJINI MWANZA LEO.

 Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia Wananchi wa jiji la Mwanza waliojitokeza kwa wingi jioni ya leo.Mgombea Uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi (CCM),Mh.Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wanachama wa chama hicho pamoja na Wananchi wa jiji la Mwanza na vitongoji vyake,nje ya ofisi za CCM mkoa,ambao walijotokeza kumlaki kwa shange na furaha kubwa.Dkt Magufuli amewasili leo jijini Mwanza akitokea jijini Dar kwa ajili ya kujitambulisha kwa wanachama wa chama hicho pamoja na...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZEE MWANZA WAMUASA MULONGO KUWEKA NGUVU KWENYE ZAO LA ALIZETI.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza na wanachi katika eneo la Lugeye Wilayani Magu.wananchi wa Nyanguge wakimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Mwanza.Mkuu wa Mka wa Mwanza akiweka jiwe la Msingi katika Wodi ya Watoto, Zahanati ya Lugeye. Na: Atley Kuni- Mwanza.
Wazee katika Mkoa wa Mwanza, wamemshauri Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kuanza kulima zao la alizeti ili kuuwezesha mkoa huo kuinuka kuichumi kutokana na hali mbaya ya mazao kama pamba kupoteza umaarufu kwenye sekta ya uchumi wa mkoa...

 

9 years ago

Michuzi

VODACOM FOUNDATION YAWAKUMBUKA WAZEE WA BUKUMBI NA WATOTO YATIMA WA VILLAGE OF HOPE JIJINI MWANZA

 Baadhi ya wazee wanaotunzwa katika kituo cha Elders, Kilichopo Bukumbi Mkoa wa Mwanza wakitafakari baada ya kukabidhiwa misaada ya magodoro na vyakula mbalimbali na Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya ziwa,Ikiwa ni utekelezaji wa kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Foundation” kwa ajili ya sikukuu za Chrismasi na Mwaka mpya,kupitia progamu yake ya Pamoja na Vodacom inayofanyika kila mwaka wakati wa msimu wa sikukuu. Msaada huo...

 

9 years ago

Mwananchi

Walemavu Dodoma wakoshwa uteuzi alioufanya Rais Magufuli

 Chama cha watu wenye wenye ulemavu Tanzania (Chawata) mkoani hapa, kimempongeza Rais John Magufuli kwa kuwateua watu wenye ulemavu kushika nyadhifa za juu serikalini.

 

10 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli aliibuliwa na wazee kisiasa

Asili ya Kijiji cha Rubambangwe kilichopo Wilaya ya Chato Mkoani Geita ni eneo lililotumiwa na wawindaji baada ya shughuli zao kwa ajili ya kuwamba ngozi za wanyama mbalimbali.

 

9 years ago

Habarileo

Wazee wampa baraka Magufuli

WAASISI na wazee wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemtakia kila la heri Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Magufuli kutekeleza majukumu yake vyema ya kuwatumikia wananchi wote wa Tanzania akiwa Rais wa Awamu ya Tano.

 

10 years ago

CCM Blog

BARAZA LA WAZEE DAR LAMPONGEZA DK MAGUFULI KWA USHINDI



 Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa baraza hilo wa kumpongeza  Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli kwa ushindi alioupata katika katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25. Kutoka kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa mkoa huo, Juma Simba na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida ambao walikuwa wajumbe waalikwa. (PICHA ZOTE NA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani