Walemavu Dodoma wakoshwa uteuzi alioufanya Rais Magufuli
 Chama cha watu wenye wenye ulemavu Tanzania (Chawata) mkoani hapa, kimempongeza Rais John Magufuli kwa kuwateua watu wenye ulemavu kushika nyadhifa za juu serikalini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U5RX27b8Smg/XmCMPtME4sI/AAAAAAAAm_8/YFcguJxSEpEOPapC7HAtcOm64pKwBAK7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200305-WA0004.jpg)
9 years ago
Mtanzania06 Jan
TGNP walia na uteuzi wa Rais Magufuli
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MTANDAO wa Wanawake wa Katiba na Uchaguzi, umemwomba Rais Dk. John Magufuli, kusimamia kikamilifu utekelezwaji wa mikataba mbalimbali iliyosainiwa na Tanzania hasa ile ya usawa wa kijinsia ili kupunguza pengo lililopo kuelekea usawa wa 50/50 katika nafasi za uongozi.
Mikataba hiyo ni pamoja na Mpango Kazi wa Beijing (1995), Mkataba wa Maputo, Mkataba wa Nyongeza wa Jinsia na Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC ...
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hoseah
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hosea
Dk. Edward Hosea.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa, Dk. Edward Hosea kuanzia leo kwa sababu yakutoridhishwa na utendaji wa taasisi hiyo.
Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, amesema, Rais John Pombe Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa watumishi wanne wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walisafiri nje ya nchi licha ya Rais...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-jsq-i5Q_8tE/Xp_-g0yG0DI/AAAAAAAC3rc/_TqUsgdd2a8OBTje9CRWJKQxQZzQ8hYfwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
5 years ago
CCM Blog5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-zKARvEC8I/Xuz78Cyxg1I/AAAAAAALuqI/rB93_s0EsGMFjhS7IXPAFkwf8VuHStjVwCLcBGAsYHQ/s72-c/ACCOUNTABILITY%252BPIC.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA NAIBU WAZIRI WA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Uf6X0pKmBQE/XsAzyJpPiLI/AAAAAAAAngs/uRuiLwsqjOcSub0h4o9lkYu7AazKVXdnQCLcBGAsYHQ/s200/0.jpg)
Na Mwandishi Wetu
CHATO, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Dkt. Godwin Oloyce Mollel ambaye ni Mbunge wa Siha kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.Hayo yamebainishwa muda huu na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu mjini Chato, Gerson Msigwa.Kwa mujibu wa taarifa hiyo, uteuzi wa Dkt. Mollel unaanza leo tarehe 16 Mei, 2020.Dkt. Mollel anachukua nafasi ya Dkt. Faustine Engelbert...
9 years ago
CCM Blog16 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA HOSEA TAKUKURU