RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA HOSEA TAKUKURU
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dk. Edward Hosea na nafasi hiyo itakaimiwa na aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Bw. Valentino Mlowola
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hosea
Dk. Edward Hosea.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa, Dk. Edward Hosea kuanzia leo kwa sababu yakutoridhishwa na utendaji wa taasisi hiyo.
Katika hatua nyingine Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, amesema, Rais John Pombe Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa watumishi wanne wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ambao walisafiri nje ya nchi licha ya Rais...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Qai9_5MY22I/VnF1kkCloKI/AAAAAAAIM3U/WzUj5xTuYls/s72-c/20151216062812.jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Dec
Rais Dkt. Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Dkt. Edward Hoseah
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dkt. Edward Hoseah (pichani) kutokana na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kufuatia kutenguliwa kwa uteuzi huo, Rais Magufuli amemteua aliyekuwa...
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI
![pombe](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pombe1.jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Dec
Rais Magufuli atengua uteuzi wa Dk. Hoseah
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-zKARvEC8I/Xuz78Cyxg1I/AAAAAAALuqI/rB93_s0EsGMFjhS7IXPAFkwf8VuHStjVwCLcBGAsYHQ/s72-c/ACCOUNTABILITY%252BPIC.jpg)
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fs3PPeGew00/VaYCqg6ruDI/AAAAAAAHp1g/RUM8WeQ7E5s/s72-c/35.jpg)
CCM TAWI LA CHINA WAPONGEZA UTEUZI WA DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KUGOMBEA URAIS
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fs3PPeGew00/VaYCqg6ruDI/AAAAAAAHp1g/RUM8WeQ7E5s/s640/35.jpg)
9 years ago
MichuziBREAKING NYUZZZZ......: RAIS MAGUFULI ATENGUA UTEUZI WA KATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI, AVUNJA BODI YA MAMLAKA YA BANDARI (TPA) LEO
Kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na utendaji mbovu wa Mamlaka hiyo kwa muda mrefu na kitendo cha kutokuchukua hatua katika vyanzo husika.
Akizungumza na waandishi wa Habari Ofisini...