Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZEE MWANZA WAMUASA MULONGO KUWEKA NGUVU KWENYE ZAO LA ALIZETI.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza na wanachi katika eneo la Lugeye Wilayani Magu.wananchi wa Nyanguge wakimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Mwanza.Mkuu wa Mka wa Mwanza akiweka jiwe la Msingi katika Wodi ya Watoto, Zahanati ya Lugeye. Na: Atley Kuni- Mwanza.
Wazee katika Mkoa wa Mwanza, wamemshauri Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kuanza kulima zao la alizeti ili kuuwezesha mkoa huo kuinuka kuichumi kutokana na hali mbaya ya mazao kama pamba kupoteza umaarufu kwenye sekta ya uchumi wa mkoa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

VYAMA VYA SIASA VYATAKIWA KUWEKA VIPENGELE VYA WATOTO KWENYE ILANI ZAO.



Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.

VYAMA vya Siasa nchini katika kuelekea Uchaguzi Mkuu vimetakiwa katika ilani zao, kuweka vipengele vya watoto kutokana na kuwepo kwa sheria kandamizi dhidi ya mtoto.


Hayo wameyasema watoto wakati wa mkutano uliondaliwa na Shirika la Save the Children kupitia Ajenda ya Mtoto inayoshirikisha mashirika 30 yanayojighulisha na masuala ya watoto kwa kuwakutanisha viongozi wa vyama vya siasa na watoto ,katika kujadili nafasi ya mtoto katika ilani zao kuelekea...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo


PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magessa Mulongo leo hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba amefungua mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13.
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...

 

10 years ago

Vijimambo

RC - MULONGO AKERWA NA HALI YA USAFI ISIYO RIDHISHA JIJINI MWANZA

.Mkuu wa Mkoa aliye nyanyua Mwamvuli kumsikiliza Bibi Asia Rashidi mfanyabiashara wa soko kuu wakati wa ziara hiyo (Picha zote na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza)Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akishangaa uchafu ulio kithiri eneo la makoroboi.Gari hili lililetwa kwa ghafla baada yakusikia kuwa kuna ziara ya Mkuu wa Mkoa.Eneo la Pembeni ya iliyokuwa standi kuu ya Mwanza, ambapo Mulongo ametoa siku ishirini na moja pawe pameendelezwa.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akiwa katika Eneo...

 

10 years ago

Vijimambo

Kali ya Mwaka Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Mulongo aliyeweka Ulinzi kama wa Rais

Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Magesa Mulongo,ambaye nimwakilishi wa Rais Jakaya Kikwete mkoani hapo,amebuni aina mpya ya Ulinzi wake binafsi pamoja na msafara wa magari unaoambatana naye anapokuwa katika ziara yake za kikaziAina hiyo ya ulinzi na msafara unaofanana kwa kiwango kikubwa na ule wanaopewa viongozi wakuu wa kitaifa,akiwemo Rais na Waziri Mkuu,ni wa kwanza kushuhudiwa na wakazi wa mkoani hapa na umedaiwa kuigharimu kiasi kikubwa cha Pesa

 

11 years ago

Michuzi

KATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO

Kiongozi wa Kikundi cha Kataa Unene Family (KUF) ambaye pia ni mwandishi na mtangazaji wa Televison ya Taifa (TBC1), Angella Msangi amekemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia picha zao ili waweze kuuza biashara zao za madawa ya kupunguza uzito. Akizungumza  kwa masikitiko makubwa, Kiongozi huyo alisema kuwa kuna wafanyabiasha ambao si waaminifu wamekuwa wakichukua picha zao katika mitandao ya jamii na sehemu nyingine na kutangazia biashara zao kuwa hao wametumia dawa zao na...

 

11 years ago

Michuzi

wazee wa bodaboda na haraka zao barabarani

Huu utaratibu wa hawa waendesha pikipiki kutofuata taratibu katika mataa ya kuongozea magari na vyombo hivyo,umekuwa ukishika kasi siku hadi siku.hapa huyu mwendesha pikipiki akiwa na abiria wake wakijaribu kuikwepa basi iliyokuwa ikipita kwa kwenye mataa hayo baada kuruhusiwa,hali hii imekuwa ni kero kubwa hapa jijini Dar.hii imetokea mchana huu kwenye Mataa ya Buguruni Sheli.Huyu nae bila kujali kuwa amewapakia abiria zaidi ya wawili nae kaingia barabarani kwa haraka zake na kuendelea na...

 

5 years ago

Michuzi

WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI

 Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Dkt. Bashiru Ally akiendelea na ziara yake Mkoani Mtwara kuelekea jimbo la Ndanda kupitia jimbo la Mtama, wazee wameshindwa kuzuia hisia zao kwa Rais Magufuli kwa kuonesha nia ya kutaka kumchangia gharama za fomu za Urais mwaka 2020.

Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...

 

10 years ago

Ykileo

WAHALIFU MTANDAO WATEGEMEWA KUELEKEZA NGUVU ZAO BARANI AFRIKA

Itakumbukwa katika mkutano uliofanyika  mapema mwezi huu  jijini "CAIRO" hofu ya ukuwaji wa uhalifu mtandao unaoweza kurudisha nyuma uchumi wa mataifa ya Afrika  ulipata kujadiliwa kwa kina huku nchi ya Misri ikionyesha washiriki wa mkutano huo jitihada inayoendelea nayo katika kukabiliana na uhalifu mtandao.


Ime ripotiwa na Mtandao wa "MGAFRICA" kuhusiana na kilichojiri katika mkutano uliokamilika jijini Johannesburg, Afrika kusini wa maswala ya usalama mitandao ambapo Bara la Afrika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani