wazee wa bodaboda na haraka zao barabarani
Huu utaratibu wa hawa waendesha pikipiki kutofuata taratibu katika mataa ya kuongozea magari na vyombo hivyo,umekuwa ukishika kasi siku hadi siku.hapa huyu mwendesha pikipiki akiwa na abiria wake wakijaribu kuikwepa basi iliyokuwa ikipita kwa kwenye mataa hayo baada kuruhusiwa,hali hii imekuwa ni kero kubwa hapa jijini Dar.hii imetokea mchana huu kwenye Mataa ya Buguruni Sheli.
Huyu nae bila kujali kuwa amewapakia abiria zaidi ya wawili nae kaingia barabarani kwa haraka zake na kuendelea na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo01 Jan
Sheria ya wazee yatakiwa haraka
SERIKALI imeshauriwa kufanya haraka kutunga Sheria ya wazee ili kuwawezesha wazee kupata haki zao za msingi.
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mabasi ya haraka kuwa barabarani Oktoba 2
HATIMAYE mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika jiji la Dar es Salaam unatarajiwa kuanza Oktoba 2 mwaka huu kwa njia moja.
11 years ago
GPL
WAARUSHA WATIMKA NA BODABODA ZAO
11 years ago
Michuzi
WASHINDI WAENDELEA KUCHUKUA BODABODA ZAO KUTOKA VODACOM


5 years ago
Michuzi
WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI

Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
WAZEE MWANZA WAMUASA MULONGO KUWEKA NGUVU KWENYE ZAO LA ALIZETI.
Wazee katika Mkoa wa Mwanza, wamemshauri Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kuanza kulima zao la alizeti ili kuuwezesha mkoa huo kuinuka kuichumi kutokana na hali mbaya ya mazao kama pamba kupoteza umaarufu kwenye sekta ya uchumi wa mkoa...
5 years ago
Michuzi
MADEREVA BODABODA KARATU WATAKIWA KUACHA MABINTI WASOME, WATIMIZE NDOTO ZAO
Na Woinde Shizza,KARATU
MADEREVA bodaboda wametakiwa kujali mabinti, kwa kuwaacha wasome ili watimize ndoto zao na si kuwalaghai kwa kuwapa lifti pamoja na chipsi kwa wanapofanya hivyo wanawaharibia ndoto zao .
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Theresia Mahongo alipokuwa akihutubia katika mdahalo juu ya kupinga ukatili wa kijinsia katika uwanja wa Mnadani wilayani Karatu,mdahalo ulioandaliwa Shirika la World Education Initiative (WEI) Bantwana; waache wasome ambalo lipo chini ya...
10 years ago
Michuzi
MAMIZ GRAND RESORT INAKULETEA MIAKA 18 YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NA NGOMA ZAO MPYA



9 years ago
MillardAyo27 Dec
Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili … (+Pichaz)
Katika maisha watu wana mbinu nyingi za kuhakikisha malengo au mipango yao inafanikiwa kwa kutumia mbinu tofauti tofauti. Mtu wangu wa nguvu katika pita pita zangu mitandaoni nikaingia lindaikejeblog. Tanzania tumezoea kuona madereva wa daladala wakiwashawishi traffic kwa njiani tofauti tofauti ili kukwepa adhabu au faini. Hii imetokea Lagos Nigeria dereva wa basi, baada ya kuvunja […]
The post Watu na mbinu zao, jamaa kavunja sheria za barabarani, baada ya askari kuja akavua nguo ili …...