Mabasi ya haraka kuwa barabarani Oktoba 2
HATIMAYE mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika jiji la Dar es Salaam unatarajiwa kuanza Oktoba 2 mwaka huu kwa njia moja.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA - TAMISEMI
TAARIFA KWA UMMAWaziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007, amemteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa...

10 years ago
Michuzi
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
TATIZO la usafiri katika jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua kufuatia kuanza kupindi cha mpito cha mabasi Yaendayo Haraka (BRT) mwezi ujao kufuatia kuwasili kwa mabasi 138 katika Bandari ya Dar es Salaam kutoa China tayari kwa huduma ya usafiri. Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki aliwaambia waandishi wa habari jana wakati alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea kuwasili kwa mabasi hayo, kuwa wakazi wa Dar es Salaama kwa sasa wataanza kutumia...
11 years ago
Michuziwazee wa bodaboda na haraka zao barabarani
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Mabasi 138 yaendayo haraka yatua Dar
Mwezi mmoja baada ya kuanza kutolewa kwa mafunzo kwa madereva maalumu, awamu ya kwanza ya mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart) imewasili nchini kutoka China.
11 years ago
Michuzi
Serikali yalidhishwa na maendelea ya mradi wa mabasi yaendayo haraka

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam hivi...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Uzinduzi mabasi yaendayo haraka pigo kwa wapinzani
UZINDUZI wa mabasi yaendayo haraka katika Jiji la Dar es Salaam, umetibua mpango wa vyama vya upinzani kumchafua mgombea wa ubunge katika Jimbo la Ubungo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Didas Masaburi na chama hicho, imefahamika.
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Siku nane pasua kichwa za mabasi yaendayo haraka
Agizo la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa la kuwataka watendaji wa mradi wa mabasi yaendayo haraka (Dart) kuhakikisha unaanza kazi ifikapo Januari 10 (siku nane zijazo), linaonekana kuwanyima usingizi baadhi ya wahusika wakiwamo mawaziri wa Ofisi ya Rais, Utumishi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi).
10 years ago
GPLMABASI YA MWENDO WA HARAKA JIJINI DAR YAZINDULIWA RASMI
...Akikata utepe kama ishara ya uzinduzi huo.  ...Akiwa tayari amepanda gari la mwendo wa haraka baada ya uzinduzi. Mgeni rasmi, Hawa Ghasia, akizungumza jambo.…
10 years ago
MichuziDART YARIDHISHWA MAENDELEO YA MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania