Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo


PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MULONGO AZINDUA MASHINDANO YA U13 TAIFA JIJINI MWANZA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh Magessa Mulongo leo hii kwenye uwanja wa CCM Kirumba amefungua mashindano ya Taifa ya vijana umri chini ya miaka 13.
Akifungua mashindano haya Mh Mulongo amewataka vijana hao kujituma katika michezo na masomo kwa kuwa vyote vinakwenda sambamba.
Amelisisitizia Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF kuongeza juhudi katika kuimarisha soka la vijana.
Katika salam zake za utangulizi Rais wa TFF Jamal Malinzi ameeleza kuwa lengo la mashindano haya ni kuibua timu ya vijana...

 

10 years ago

Vijimambo

RC - MULONGO AKERWA NA HALI YA USAFI ISIYO RIDHISHA JIJINI MWANZA

.Mkuu wa Mkoa aliye nyanyua Mwamvuli kumsikiliza Bibi Asia Rashidi mfanyabiashara wa soko kuu wakati wa ziara hiyo (Picha zote na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza)Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akishangaa uchafu ulio kithiri eneo la makoroboi.Gari hili lililetwa kwa ghafla baada yakusikia kuwa kuna ziara ya Mkuu wa Mkoa.Eneo la Pembeni ya iliyokuwa standi kuu ya Mwanza, ambapo Mulongo ametoa siku ishirini na moja pawe pameendelezwa.Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akiwa katika Eneo...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZEE MWANZA WAMUASA MULONGO KUWEKA NGUVU KWENYE ZAO LA ALIZETI.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza na wanachi katika eneo la Lugeye Wilayani Magu.wananchi wa Nyanguge wakimsikiliza Mkuu wa mkoa wa Mwanza.Mkuu wa Mka wa Mwanza akiweka jiwe la Msingi katika Wodi ya Watoto, Zahanati ya Lugeye. Na: Atley Kuni- Mwanza.
Wazee katika Mkoa wa Mwanza, wamemshauri Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, kuanza kulima zao la alizeti ili kuuwezesha mkoa huo kuinuka kuichumi kutokana na hali mbaya ya mazao kama pamba kupoteza umaarufu kwenye sekta ya uchumi wa mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa

Uingereza inasema matukio yanayoshuhudiwa nchini Iraq na Syria yameongeza tishio la mashambulizi ya kigaidi nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi ni tishio la Dunia:Nasrallah

Kiongozi wa harakati za Shia wa Hezbollah Hassan Nasrallah amesema dunia inakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea dhidi ya mashambuzi ya kigaidi.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Mwinyi akiri ugaidi ni tishio


NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amesema ugaidi na uharamia ni changamoto kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Amesema matatizo yanayotokea Somalia yanatishia usalama wa nchi za Afrika Mashariki na kwamba juhudi zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hiyo.

Dk. Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua maonyesho ya majeshi ya nchi kavu.
Alisema matukio ya kigaidi na kiharamia yanayojitokeza kwenye nchi mbalimbali duniani,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kumi wakamatwa tishio la ugaidi

Tishio la ugaidi linazidi kuongezeka baada ya polisi mkoani hapa kuwakamata watu kumi kwenye msikiti wakiwa na vifaa vinavyosadikiwa kuwa vinatumika kwenye mashambulizi ya kigaidi, ikiwamo bendera nyeusi, milipuko na sare za jeshi.

 

10 years ago

Vijimambo

Kali ya Mwaka Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Mulongo aliyeweka Ulinzi kama wa Rais

Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Magesa Mulongo,ambaye nimwakilishi wa Rais Jakaya Kikwete mkoani hapo,amebuni aina mpya ya Ulinzi wake binafsi pamoja na msafara wa magari unaoambatana naye anapokuwa katika ziara yake za kikaziAina hiyo ya ulinzi na msafara unaofanana kwa kiwango kikubwa na ule wanaopewa viongozi wakuu wa kitaifa,akiwemo Rais na Waziri Mkuu,ni wa kwanza kushuhudiwa na wakazi wa mkoani hapa na umedaiwa kuigharimu kiasi kikubwa cha Pesa

 

10 years ago

Vijimambo

Tishio la ugaidi lakatiza ibada Mombasa

kanisa la kianglikana Mombasa Kenya
Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.

Waumini walihamishwa kutoka kanisani hilo baada ya gari moja kuingia ndani ya uwanja wa kanisa kimabavu.

Kenya iko katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya watu wasiopungua 150 kaskazini mwa taifa taifa hilo.

Ibada hiyo ya Pasaka iligeuka na kuwa mbio za mguu niponye baada ya waumini kuarifiwa kuhusu gari hilo lisilo na nia njema.

Askofu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani