Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ugaidi ni tishio la Dunia:Nasrallah

Kiongozi wa harakati za Shia wa Hezbollah Hassan Nasrallah amesema dunia inakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea dhidi ya mashambuzi ya kigaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa

Uingereza inasema matukio yanayoshuhudiwa nchini Iraq na Syria yameongeza tishio la mashambulizi ya kigaidi nchini humo.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Mwinyi akiri ugaidi ni tishio


NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amesema ugaidi na uharamia ni changamoto kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Amesema matatizo yanayotokea Somalia yanatishia usalama wa nchi za Afrika Mashariki na kwamba juhudi zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hiyo.

Dk. Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua maonyesho ya majeshi ya nchi kavu.
Alisema matukio ya kigaidi na kiharamia yanayojitokeza kwenye nchi mbalimbali duniani,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kumi wakamatwa tishio la ugaidi

Tishio la ugaidi linazidi kuongezeka baada ya polisi mkoani hapa kuwakamata watu kumi kwenye msikiti wakiwa na vifaa vinavyosadikiwa kuwa vinatumika kwenye mashambulizi ya kigaidi, ikiwamo bendera nyeusi, milipuko na sare za jeshi.

 

10 years ago

Vijimambo

Tishio la ugaidi lakatiza ibada Mombasa

kanisa la kianglikana Mombasa Kenya
Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.

Waumini walihamishwa kutoka kanisani hilo baada ya gari moja kuingia ndani ya uwanja wa kanisa kimabavu.

Kenya iko katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya watu wasiopungua 150 kaskazini mwa taifa taifa hilo.

Ibada hiyo ya Pasaka iligeuka na kuwa mbio za mguu niponye baada ya waumini kuarifiwa kuhusu gari hilo lisilo na nia njema.

Askofu wa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo


PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Ugaidi bado ni tishio kubwa EAC - Kenyatta

RAIS wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Uhuru Kenyatta amesihi nchi wanachama kushirikiana dhidi ya ugaidi na ujangili, kwa kuwa hakuna nchi yoyote inayoweza kujiona ipo huru zaidi kuhusu matukio hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Hisia za ugaidi zinavyotawala dunia sasa hivi...

Mimi na swahiba wangu tumekaa mgahawani, jijini London tukipiga soga, yeye alikuwa safarini kwa miezi mingi. Mwanzoni mazungumzo yalimhusu mchezaji Luis Suarez, mfungaji mabao maarufu wa Liverpool aliyeanza kuwika wakati wa Kombe la Soka la Dunia mwaka 2010, Afrika Kusini.

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani,  Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA tishio

HARAKATI za kujiimarisha za Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) sasa zinatarajiwa kuhamia kwenye Bunge la Bajeti litakaloanza vikao vyake Mei 6, mwaka huu. UKAWA kesho wanatarajia kufanya mkutano mkubwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani