Tishio la ugaidi lakatiza ibada Mombasa
kanisa la kianglikana Mombasa Kenya
Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.
Waumini walihamishwa kutoka kanisani hilo baada ya gari moja kuingia ndani ya uwanja wa kanisa kimabavu.
Kenya iko katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya watu wasiopungua 150 kaskazini mwa taifa taifa hilo.
Ibada hiyo ya Pasaka iligeuka na kuwa mbio za mguu niponye baada ya waumini kuarifiwa kuhusu gari hilo lisilo na nia njema.
Askofu wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Tishio la gaidi lakatiza ibada Mombasa
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Kumi wakamatwa tishio la ugaidi
10 years ago
BBCSwahili25 May
Ugaidi ni tishio la Dunia:Nasrallah
10 years ago
BBCSwahili30 Aug
P.M:Tishio la ugaidi Uingereza ni kubwa
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-gVoL9xvjcXE/U8VSAwsnUxI/AAAAAAAABXk/kJX9FSCSu0Q/s72-c/Hussein+Mwinyi-April24-2014.jpg)
Dk. Mwinyi akiri ugaidi ni tishio
NA MOHAMMED ISSA
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amesema ugaidi na uharamia ni changamoto kubwa kwa nchi za Afrika Mashariki.
Amesema matatizo yanayotokea Somalia yanatishia usalama wa nchi za Afrika Mashariki na kwamba juhudi zinapaswa kuchukuliwa kudhibiti hali hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-gVoL9xvjcXE/U8VSAwsnUxI/AAAAAAAABXk/kJX9FSCSu0Q/s1600/Hussein+Mwinyi-April24-2014.jpg)
Dk. Mwinyi alisema hayo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akifungua maonyesho ya majeshi ya nchi kavu.
Alisema matukio ya kigaidi na kiharamia yanayojitokeza kwenye nchi mbalimbali duniani,...
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Hakuna tishio la ugaidi Mwanza-Mulongo
PETER KATULANDA, MWANZA
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magessa Mulongo, amesema mkoa huo uko salama na hakuna tishio lolote la ugaidi.
Alisema Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa imejipanga kukabiliana na tishio lolote linaloweza kujitokeza.
Mulongo aliwataka wananchi wa mkoa huo kuendelea na shughuli zao kama kawaida na wasiwe na hofu yoyote.
Alisema hayo jana mjini hapa wakati akitoa taarifa ya hali ya usalama ya mkoa huo kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), Amina Makilagi, kwenye...
11 years ago
Habarileo26 Mar
Ugaidi bado ni tishio kubwa EAC - Kenyatta
RAIS wa Kenya ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Uhuru Kenyatta amesihi nchi wanachama kushirikiana dhidi ya ugaidi na ujangili, kwa kuwa hakuna nchi yoyote inayoweza kujiona ipo huru zaidi kuhusu matukio hayo.
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)
Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]
The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...