Tishio la gaidi lakatiza ibada Mombasa
Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo05 Apr
Tishio la ugaidi lakatiza ibada Mombasa
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/04/05/150405141518_angalican_church_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.
Waumini walihamishwa kutoka kanisani hilo baada ya gari moja kuingia ndani ya uwanja wa kanisa kimabavu.
Kenya iko katika hali ya tahadhari baada ya mauaji ya watu wasiopungua 150 kaskazini mwa taifa taifa hilo.
Ibada hiyo ya Pasaka iligeuka na kuwa mbio za mguu niponye baada ya waumini kuarifiwa kuhusu gari hilo lisilo na nia njema.
Askofu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
9 years ago
MillardAyo30 Dec
Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video)
Hoverboard ni jina la kiingereza lakini sina uhakika kama kuna jina rasmi la kiswahili limepatikana kuviita hivi vifaa… ni kama fashion sasahivi utaona mastaa kibao wanapost video wanatembea navyo !! Lakini kama haujaviweza tafadhali mtu wangu, hata usithubutu kuvijaribu.. Ripoti ya stori kwenye mtandao wa BBC inasema waumini kadhaa wamemshutumu Paroko mmoja wa Ufilipino ambae […]
The post Kiongozi wa ibada alivyowashiwa moto baada ya kukatisha na hoverboard kwenye ibada.. (+Video) appeared...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s72-c/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
Karibuni Ibada ya Kuabudu na Kusifu - Jumapili Januari 18, 2015 Ibada itaanza saa kumi kamili 4:00pm (EST)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pQH5_2Dlgdo/VLVI9ZjqtwI/AAAAAAAAAmU/9Uqc05JqlRA/s1600/IYK_Kusifu_Kuabudu.jpg)
11 years ago
Michuzi16 May
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOass4AqaZU/U2d7Y1z3-_I/AAAAAAAAAW4/n6Llkx8IWnw/s1600/IYK_Swahili_Invitation_5yr.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-gJiCE87YYrABo22BHWuZ6WC2uuuDzwdk7AdPRoKEkjN7KxP3Xblwgfyj*1ILoqdzNZqEPCwDdx7PcYc25cH2OgPaY2PBL2X/Gaidi.jpg?width=650)
GAIDI ALIVYOJIRUSHA GHOROFANI
10 years ago
Mtanzania28 Mar
‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni
NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...
9 years ago
BBCSwahili26 Aug
Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Neno ‘gaidi’ linavyopotoshwa nchini Marekani
HIVI karibuni nchini Marekani, kijana wa kizungu mwenye umri wa miaka 21, Dylann Roof, aliingia
Nizar Visram