Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GAIDI ALIVYOJIRUSHA GHOROFANI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa. Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam chini ya Kamishna Suleman Kova wameachwa midomo wazi baada ya mtuhumiwa wa ugaidi, Ali Mohamed Uletule (65) kujirusha kutoka ghorofa ya tatu na kudondoka chini kwa lengo la kutaka kutoroka, Uwazi lina mkanda kamili. Mtuhumiwa huyo akiwa hoi baada ya kujirusha. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita wakati Uletule...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

BABA AMRUSHA MWANAYE GHOROFANI

Mwandishi Wetu STRESS! Mtanzania mmoja aliyefahamika kwa jina la utani la Mabastola, amefariki dunia jijini Istanbul nchini Uturuki mwishoni mwa wiki iliyopita, baada ya kumrusha mwanaye kutoka katika ghorofa ya tatu ya jengo alilokuwa akiishi kisha na mwenyewe kujirusha na kufa papo hapo. Akiwa na mwanaye enzi za uhai wao. Chanzo chetu kilichopo jijini humo, kimeliambia gazeti hili kuwa kinacho taarifa za msiba huo ambao chanzo...

 

9 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa ugaidi ajirusha ghorofani

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imewakamata watuhumiwa 26 wanaojihusisha na vitendo vya ugaidi, huku Ally Ulatule anayetajwa kama kinara wa vikundi hivyo akijaribu kutoroka au kujiua kwa kujirusha kutoka ghorofa ya tatu wakati akihojiwa na polisi.

 

10 years ago

Mtanzania

Mwanafunzi UDSM aliyejirusha ghorofani asimulia

Pg 1Hadia Khamis na Mwantumu Saadi, Dar es Salaam
MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Cecilia Mosha (26) aliyejirusha kutoka ghorofa ya tatu hadi chini kutokana na hofu ya moto uliotokea katika Hosteli ya Mabibo, amevunjika mfupa wa bega.
Mwanafunzi huyo alijirusha kupitia dirishani juzi katika harakati za kujiokoa na moto baada ya jengo la wasichana, Block A kushika moto huku wanafunzi wakiwa vyumbani wakiendelea na shughuli zao.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Cecilia ambaye ni...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtuhumiwa wa ugaidi ajaribu kujiua kwa kujirusha ghorofani

Mtu anayedaiwa kuwa mratibu wa matukio ya ugaidi, uporaji wa silaha na mauaji katika vituo vya polisi , Ally Ulature (60) amejeruhiwa baada ya kujirusha katika ghorofa  kwa kile kinachodhaniwa kuwa ni azimio la kujiua  au kutoroka.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Gaidi’ wa Amboni Tanga mbaroni

NA OSCAR ASSENGA, HANDENI
JESHI la Polisi mkoani Tanga, limedai kufanikiwa kumkamata mmoja wa watuhumiwa aliyehusika kwenye tukio lenye sura ya kigaidi katika mapango ya Amboni.
Zaidi Jeshi hilo limemuhusisha mtuhumiwa huyo na tukio la uporaji silaha kwa askari waliokuwa doria eneo la barabara ya nne na tano Mtaa wa Makoko jijini Tanga, Januari 26 mwaka huu.
Takribani mwezi mmoja uliopita, tukio hilo la Amboni ambalo msingi wa kujulikana kwake ulitokana na kuporwa kwa silaha hizo,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tishio la gaidi lakatiza ibada Mombasa

Ibada katika kanisa moja la Kianglikana nchini Kenya ilikatizwa ghafla baada ya tishio la ugaidi siku ya Jumapili.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi

Msichana mmoja wa miaka 16 amekiri kutekeleza ugaidi katika mahakama moja ya Manchester nchini Uingereza

 

10 years ago

Raia Mwema

Neno ‘gaidi’ linavyopotoshwa nchini Marekani

HIVI karibuni nchini Marekani, kijana wa kizungu mwenye umri wa miaka 21, Dylann Roof, aliingia

Nizar Visram

 

9 years ago

GPL

GAIDI WA KISOMALI AUAWA, AZIKWA KWA SIRI

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa, Pwani MTU ambaye ametajwa kuwa ni gaidi mwenye asili ya Kisomali (jina lake halikupatikana) ambaye imeelezwa alijeruhiwa kwa risasi katika mapambano kati ya magaidi na askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar Julai 12, mwaka huu, amefariki dunia na kuzikwa kwa siri, Uwazi liko kazini.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1OsgsTp ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani