GAIDI WA KISOMALI AUAWA, AZIKWA KWA SIRI
![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M33kYTSd6sLgUZr**d-z97HrHDBwwVdeKph3W2mMERjkj1mE6SqA4XJWMYd4185LGddfQvfUKcolUbTciizWanKY/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa, Pwani MTU ambaye ametajwa kuwa ni gaidi mwenye asili ya Kisomali (jina lake halikupatikana) ambaye imeelezwa alijeruhiwa kwa risasi katika mapambano kati ya magaidi na askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar Julai 12, mwaka huu, amefariki dunia na kuzikwa kwa siri, Uwazi liko kazini.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1OsgsTp ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri
9 years ago
Habarileo17 Sep
Mzee auawa, azikwa uvunguni kitandani
POLISI mkoani Morogoro inawashikilia watu wanne kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Pascal Luwi (70) , mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kombora Kijiji cha Ubiri Kata ya Mhonda Tarafa ya Turiani wilayani Mvomero na kumzika uvunguni mwa kitanda chumbani mwake.
10 years ago
Habarileo26 May
Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
9 years ago
Mzalendo Zanzibar02 Oct
CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania Wa Zanzibar na Tanganyika natumai mumeamka salama na muko katika harakati za kutafuta KIJIO. Ama mimi sina budi ila kumshukuru Mwenyezi Mungu kwakunijaalia kunipa uzima, afay na muda huu mdogo wakufikisha ujumbe […]
The post CCM: YAANZA KUUZA UZA -HISA ZA PBL KWA $$$: milioni 80. SIRI SIRI appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Vijana wa Kisomali na mitindo yao
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Wakimbizi wa Kisomali wapata uraia Tanzania
SERIKALI imewapa uraia wa Tanzania wakimbizi wa Kisomali wenye asili ya Kibantu 1,514 waliokuwa wanaishi Chogo, Wilaya ya Handeni, Tanga. Wakimbizi hao walikimbia nchi yao baada ya vita kutokea mwaka...