Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hisia za ugaidi zinavyotawala dunia sasa hivi...

Mimi na swahiba wangu tumekaa mgahawani, jijini London tukipiga soga, yeye alikuwa safarini kwa miezi mingi. Mwanzoni mazungumzo yalimhusu mchezaji Luis Suarez, mfungaji mabao maarufu wa Liverpool aliyeanza kuwika wakati wa Kombe la Soka la Dunia mwaka 2010, Afrika Kusini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ugaidi ni tishio la Dunia:Nasrallah

Kiongozi wa harakati za Shia wa Hezbollah Hassan Nasrallah amesema dunia inakabiliwa na hatari kubwa kuwahi kutokea dhidi ya mashambuzi ya kigaidi.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Nchi hivi sasa inayumba’

JOSEPH SINDE WARIOBA (TUME YA KATIBA TANZANIA)Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wastaafu na wasomi nchini wamesema hivi sasa taifa linakabiliwa na viashiria vya uvunjivu wa amani hali inayosababisha nchi kuyumba.
Kutokana na hali hiyo wamesema ni muhimu kudhibiti amani hasa katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Walikuwa wakizungumza Dar es Salaam jana katika mkutano uliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere unaojadili amani na umoja wa nchi.
Jaji Warioba
Akizungumzia hali ya amani,...

 

11 years ago

GPL

SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!

INAKUWA nini masela na maduu wa ukwehe? Ama nini? Kipande hii ni kama lasti wiki arifu. Chuma kingine kikali Bongo Muvi kaka mkubwa kabisa Tyson naye karesti ini pisi chaliiangu ndo maana dizaini kama mizuka ipo dauni kimtindo. Umepata lesoni gani mnyama wangu baada ya watu wetu wa nguvu kudedi fastafasta? Umkumbuke Saa Godi taimu yote katika kila mbishe unayopiga. Karibu kwenye hizi stori tamu za kitaani kwetu mazee. Tudei ngoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Hivi sasa macho yote Brazil.

Fainali za Kombe la Dunia 2014 zinaanza Alhamisi hii nchini Brazil huku timu za Amerika Kusini zikipewa nafasi kubwa ya kulibakiza kombe hilo kwenye ardhi yao.

 

10 years ago

Bongo Movies

Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa

Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.


Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...

 

10 years ago

GPL

OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!

Mambo vipi wanangu wenyewe? Mzuka? Kitaa hiyo kwa ndichi hapo kati inakuwa nini? Kipande hii haiwi kitu. Hapa vumbi tu kama vipi karibu kwa jamvini rede kukisanua. Kwani kuna tatizo? Hakuna tatizo!
Festi sharauti ziende kwa masela na washikaji zangu wote mlioibuka pale kati Uwanja wa Taifa kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini. Aisee siyo sekreti ilikuwa mzuksi hatare sana. Bata zilipigwa hadi kuku wakaona mawivu daadeki! Bigi...

 

5 years ago

BBCSwahili

'Ugonjwa pekee hivi sasa ni ubaguzi wa rangi'

Mshambuliaji wa England na Manchester City Raheem Sterling ameunga mkono maandamano yanayofanyika nchini Uingereza, akisema '' ugonjwa pekee kwa sasa ni ubaguzi tunaopambana nao''.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani