Hisia za ugaidi zinavyotawala dunia sasa hivi...
Mimi na swahiba wangu tumekaa mgahawani, jijini London tukipiga soga, yeye alikuwa safarini kwa miezi mingi. Mwanzoni mazungumzo yalimhusu mchezaji Luis Suarez, mfungaji mabao maarufu wa Liverpool aliyeanza kuwika wakati wa Kombe la Soka la Dunia mwaka 2010, Afrika Kusini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
BBCSwahili25 May
Ugaidi ni tishio la Dunia:Nasrallah
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/sXUZNx4-URk/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania20 May
‘Nchi hivi sasa inayumba’
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
VIONGOZI wastaafu na wasomi nchini wamesema hivi sasa taifa linakabiliwa na viashiria vya uvunjivu wa amani hali inayosababisha nchi kuyumba.
Kutokana na hali hiyo wamesema ni muhimu kudhibiti amani hasa katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Walikuwa wakizungumza Dar es Salaam jana katika mkutano uliandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere unaojadili amani na umoja wa nchi.
Jaji Warioba
Akizungumzia hali ya amani,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1coTuGyNpPeSeoYVYUyVtyRO3d8Mh5yXxtmJVVeQaBoCV-NLWP51YQa3Q2Be*XC9UH9bOeEqgIxEebF3c3CEQxZQ/mpekeeno2.jpg)
SASA HIVI UZEE MWISHO MSATA!
11 years ago
Mwananchi09 Jun
Hivi sasa macho yote Brazil.
10 years ago
Bongo Movies02 Jul
Nuhu Mziwanda: Sipo na Shilole Hivi Sasa
Msaniii Nuhu Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya 'Bilima' amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hayupo na Shilole, Nuhu amesema hayo jana alipokuwa Kikaangoni akichat na mashabiki kupitia ukurasa wa facebook wa EATV.
Toka ulipoaanza mwezi wa ramadhan kulikuwa na tetesi kuwa msanii Nuhu amehama kutoka kwa Shilole na sasa anaishi kwake mwenywe hilo limethibitishwa Nuhu alipokuwa akijibu swali la kwanini mpaka sasa anaendelea kuishi na Shilole kwenye nyumba ambayo Shilole...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OcxvxG4wHxbX85-TIi1ZPfjlqYI9WS*wD*5Yx8dkqF6Fn2GCcj4B94WJ3Y443lD4rIjc8jJw-kp4AfdHRTTis3F9xxOKOCPp/mpekeec.jpg)
OYA MASELA SASA HIVI NI MWENDO WA VIPARA!
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
'Ugonjwa pekee hivi sasa ni ubaguzi wa rangi'