BARAZA LA WAZEE DAR LAMPONGEZA DK MAGUFULI KWA USHINDI
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Dar es Salaam, Hemed Mkali (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu uamuzi wa baraza hilo wa kumpongeza Rais Mteule wa Tanzania, Dk. John Magufuli kwa ushindi alioupata katika katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 25. Kutoka kushoto ni Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa mkoa huo, Juma Simba na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhan Madabida ambao walikuwa wajumbe waalikwa. (PICHA ZOTE NA...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog20 Aug
Dkt. Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-lcSATVymBBI/VdTyEZ3NxcI/AAAAAAAHyXo/F7Fc3dWgJf0/s640/IMGS0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-d_EleSSoc0U/VdTyEmY2TjI/AAAAAAAHyXk/mQry2iy2RIA/s640/IMGS0004.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lZiBRJSbhW8/XuJamBah65I/AAAAAAALtes/rS-wvbr6LqA98dG0FXOOjqtAeWDx86IiACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KANISA LA EAGT LAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUONGOZA MAPAMBANO YA CORONA, WAMUOMBA ASIYUMBISHWE NA WANAOMBEZA
Charles James, Michuzi TV
UONGOZI bora, uadilifu, utendaji kazi uliotukuka, hofu ya Mungu na mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona ndivyo vitu ambavyo Baraza la Maaskofu la Kanisa la Evangelist Assemblies of God Tanzania (EAGT) vimewavutia na kutoa pongezi maalum kwa Rais Dk John Magufuli.
Pongezi hizo za Kanisa la EAGT nchini zimetolewa leo jijini Dodoma na Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Brown Mwakipesile Katika mkutano mkuu wa Baraza hilo lililojumuisha Maaskofu wa Majimbo 83 na wale wa Kanda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5aHGNXTGxH8/Xr05xPTLOTI/AAAAAAALqMg/G8V4SnIMc30A9nQlzLmvLh3SBfNQldJLwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200512_133754_0-2048x1536.jpg)
BARAZA LA MADIWANI NYASA LAMPONGEZA NAIBU WAZIRI MANYANYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5aHGNXTGxH8/Xr05xPTLOTI/AAAAAAALqMg/G8V4SnIMc30A9nQlzLmvLh3SBfNQldJLwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200512_133754_0-2048x1536.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG_20200512_150633_8-scaled.jpg)
*********************************
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa, limempongeza Mbunge wa jimbo la Nyasa ambaye pia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhandisi...
9 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-OrC_QQvbhL0/VdT0BMGbpHI/AAAAAAAHydc/3Queq-kNNm8/s640/IMGS0167.jpg)
MAGUFULI ALIPOTAMBULISHWA KWA WAZEE WA DAR, UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE
9 years ago
Bongo512 Nov
Shirikisho la muziki Tanzania lampongeza Magufuli
![November](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/November-300x194.jpg)
Shirikisho la muziki nchini limempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli kwa kasi ya utendaji aliyoanza nayo tangu aingie madarakani.
Rais wa shirikisho la muziki Tanzania, Addo November Mwasongwe
Katika taarifa yake kwa waandishi wa habari Alhamis hii, rais wa shirikisho hilo, Addo November Mwasongwe amesema Magufuli hajaonesha kuwa rais anayefaa tu bali pia amekuwa mtetezi wa wanyonge.
“Ndugu wanahabari ziara za ghafla za ndugu Magufuli sio za kubezwa, ni za...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-cEUh78h2AAc/VjOfSHiZipI/AAAAAAAAqxc/cTQ9lfJGBp4/s72-c/45.jpg)
MAGUFULI AWASHUKURU WAPIGA KURA WALIOMPA USHINDI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-cEUh78h2AAc/VjOfSHiZipI/AAAAAAAAqxc/cTQ9lfJGBp4/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTvVro8DhNI/VjOfSe-IZWI/AAAAAAAAqxk/zf9QwI6eiCY/s640/46.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA TAARIFA YA KUZUILIWA KWA IBADA
![](http://4.bp.blogspot.com/-t-op8cWY9NA/U6P5gSvAjGI/AAAAAAAFr38/zXmiUngWvTc/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HnQhhc5t7Eg/U6P5gdCxNaI/AAAAAAAFr4A/3EVZ7Pftwhc/s1600/unnamed+(11).jpg)
9 years ago
MichuziMAGUFULI CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO YAANZA KWA USHINDI
Magoli yote mawili ya Abajalo yamefungwa na Lameck Daiton, goli la kwanza limefungwa dakika ya tisa wakati goli la pili limefungwa dakika ya 11 kwa mkwaju wa penati baada ya Muhsin Said kuangushwa kwenye eneo la hatari wakati akielekea...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3xix1B0yXrw/XlDwWeYdsTI/AAAAAAALezY/eS3VJnaaKVQDQ7X5ymQb9Am4mBhWoybPwCLcBGAsYHQ/s72-c/e0c681b2-5669-44fd-9940-2176e2c3effc.jpg)
WAZEE WA MTAMA WASHINDWA KUZUIA HISIA ZAO KWA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-3xix1B0yXrw/XlDwWeYdsTI/AAAAAAALezY/eS3VJnaaKVQDQ7X5ymQb9Am4mBhWoybPwCLcBGAsYHQ/s640/e0c681b2-5669-44fd-9940-2176e2c3effc.jpg)
Akieleza kwa niaba ya wazee hao, Mbunge wa jimbo la Mtama Ndg. Nape Mosses Nnaye, ameleeza kuwa wazee wapo tayari na wamejipanga kumchangia gharama za fomu za Urais ili kuonesha mapenzi yao kwake kutokana na namna...