Afungiwa Twitter akidhaniwa kuwa mkuu wa IS
Mwanaharakati aliyetetea mageuzi nchi za Kiarabu alifungiwa akaunti yake ya Twitter kwa muda baada ya kudhaniwa alikuwa ndiye kiongozi wa Islamic State.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Mkurugenzi mkuu wa Twitter kujiuzulu
Mkurugenzi mkuu wa Twitter, Dick Costolo, ana nia ya kujiuzulu ifikapo mwisho wa mwezi huu wa Juni, kufuatia shinikizo kutoka kwa wawekezaji, ambao wanalalamikia ukuaji polepole wa mtandao huo wa kijamii.
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa Sputnik InternationalView Full coverage on Google...
10 years ago
GPLANUSURIKA KUUAWA AKIDHANIWA NI MCHAWI
Na Richard Konga, Arusha
Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Alendoufonyi Abdi (pichani) mkazi wa Uduru Machame mkoani Kilimanjaro, amenusurika kuuawa na wananchi wenye hasira kali baada ya kuokolewa na waumini wa kanisa moja jijini hapa. Akizungumza na waandishi wa habari eneo la Kijenge Banana Kata ya Olorieni, Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste la Yerusalemu Mpya, Liberty Shirima alisema walimnusuru mwanamke huyo asiuawe...
10 years ago
GPLAINGIZWA MOCHWARI AKIDHANIWA AMEKUFA
Na Imelda Mtema Kijana mmoja, Omary Ramadhani, 28, (pichani) mkazi wa Sinza Madukani, Dar amenusurika kifo baada ya kupata ajali ya kugongwa na ‘Break Down’ alipokuwa akiendesha Bajaj katika makutano ya Barabara ya Sam Nujoma na Ali Hassan Mwinyi, Mwenge, jijini Dar es Salaam. Kijana Omary Ramadhani anayedaiwa kuingizwa mochwari akidhaniwa amekufa. Akizungumza kwa masikitiko, Omary alisema kuwa...
10 years ago
MichuziJAJI MKUU WA TANZANIA AMUAPISHA MHE. VINCENT LYIMO KUWA MSULUHISHI MKUU WA MIGOGORO YA BIMA NCHINI
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman, akimwapisha Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mh. Vincent Lyimo kuwa Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima nchini, wakati wa hafla fupi iliyofanyika mapema leo ofisini kwa Mhe. Jaji Mkuu. kulia ni Msajili Mwandamizi wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Mhe. Jaji Vincent Lyimo, Msuluhishi Mkuu wa Migogoro ya Bima akisaini hati ya uteuzi mbele ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Mh. Mohamed Chande Othman (hayupo pichani) Jaji Mkuu wa Tanzania Mh....
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Merck Sadick anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa mwaka wa 46 wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania utakaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 4 octoba mwaka huu katika eneo la kitonga, Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaaM.
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Mtoto mlemavu afungiwa ndani m
Vitendo vya ukatili na unyanyasaji dhidi ya watoto wenye ulemavu wilayani Karagwe, vimezidi kukithiri huku wadau wanaotetea haki za watoto wakiendelea kutoa wito kwa wananchi kutoa ushirikiano kukabiliana na tatizo hilo.
9 years ago
Michuzi30 Sep
NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILI
NYOSO AFUNGIWA MIAKA MIWILIKamati ya masaa 72 ya uendeshaji wa Ligi Kuu iliyokutana leo kupitia ripoti mbalimbali za michezo iliyochezwa ya Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza nchini imemfungia mchezji Juma Nyoso wa timu ya Mbeya City kucheza mpira wa miguu kwa kipindi cha miaka miwili na faini ya shilingi milioni mbili (2,000,000) kufutia kitendo cha udhalilishaji alichomfanyia mchezaji wa Azam FC John Bocco.Nyoso alifanya kitendo hicho katika mchezo no namba 32 wa VPL kati ya Azam FC na...
9 years ago
BBCSwahili30 Oct
Refarii aliyekataa kutoa penalti afungiwa
Timu ya soka ya Trabzonspor ilimfungia refarii kwa saa kadhaa baada ya kuwanyima penalti dhidi ya mahasimu wao wa jadi Gaziantepspor
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania