LIPUMBA NA WAFUASI WAKE WAPATA DHAMANA UPYA
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Hamad akisalimiana na Mwenyekiti wake Prof. Lipumba baada kutoka katika chumba cha kesi. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Hamad, akishuka katika chumba cha kusikiliza kesi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
10 years ago
Habarileo25 Sep
Wafuasi wa Chadema wapata dhamana
WAFUASI watatu wa Chadema wanaokabiliwa na mashitaka ya kutotii amri ya Jeshi la Polisi na kuingia katika Makao Makuu ya Jeshi hilo kinyume cha sheria, wamepata dhamana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
10 years ago
Mtanzania28 Jan
Lipumba, wafuasi wake wala kichapo
Na Oliver Oswald, Dar es salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, jana lilazimika kutumia nguvu kubwa kupambana na wafusi wa Chama cha Wananchi (CUF), waliokuwa wanaandamana katika kile kilichoelezwa kukumbuka mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Januari 26 na 27, mwaka 2001 visiwani Zanzibar.
Katika purukushani hizo, askari walimpiga kwa kutumia kitako cha bunduki na kisha kirungu, mpigapicha wa gazeti la Jambo Leo, Hamisi Mussa, aliyekuwa anatekeleza majukumu yake ya...
10 years ago
Vijimambo30 Jan
Taarifa iliyotolewa na Serikali kuhusu ishu ya kukamatwa kwa Prof. Lipumba na wafuasi wake
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/Lipumba-Under-Arrest.jpg?resize=487%2C242)
![](http://i2.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/01/bunge_clip.jpg?resize=526%2C265)
10 years ago
GPLWAFUASI 29 WA CUF WAACHIWA KWA DHAMANA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYqb4Oc0XUJ-eLBrniCyROwO068-Xs-6IetZAH3*CJnk*V-lIIqYH1IqY2KJon-bl-4CBhBJAT32s*-6DF6ZDyRB/breakingnews.gif)
MDEE NA WENZAKE WAPATA DHAMANA
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Washtakiwa TRA wapata dhamana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Waliovunja ‘mochwari’ sita wapata dhamana