Wafuasi CUF wacheza ‘sinema’ mahakamani
Ilikuwa kama sinema wakati wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaokabiliwa na kesi ya kufanya maandamano na mikusanyiko isiyo halali, wakitimua mbio mahakamani baada ya kufutiwa mashtaka kwa muda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s72-c/CHADEMA-LOGO.png)
WAFUASI WA CHADEMA MARUFUKU KUFIKA MAHAKAMANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-lv6cBpLw9w8/XqfwlZSRJaI/AAAAAAALoc8/nPrMWy2lZn85hyJcD0pUGsVXuuY82xu1QCLcBGAsYHQ/s400/CHADEMA-LOGO.png)
Jaji Mfawidhi wa Kanda hiyo, Lameck Mlacha ametoa amri hiyo leo Aprili 28,2020 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutajwa.
Amri hiyo imetolewa ikiwa ni njia moja wapo ya kuepukana na mikusanyiko katika kipindi hiki ambacho...
10 years ago
GPLUMATI WA WAFUASI WA SHEIKH PONDA WAFURIKA MAHAKAMANI MORO
Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kusubiri kesi ya kiongozi huyo.…
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Chadema ngoma nzito,wafuasi watwangana makonde mahakamani
>Vurugu za aina yake zimezuka katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, baada ya watu wanaodhaniwa kuwa wanachama wa Chadema kumzomea aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Zitto Kabwe.
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapandishwa kizimbani
NA FURAHA OMARY
WAFUASI 30 wa Chama cha CUF, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashitaka matatu, likiwemo la kufanya mgomo baada ya kukatazwa kukusanyika na kuandamana.
Washitakiwa hao walisomewa mashitaka hayo jana mbele ya Hakimu Mkazi, Emmilius Mchauru na kupelekwa rumande katika gereza la Segerea, kutokana na barua za wadhamini kutakiwa kuhakikiwa.
Kwa mujibu wa hati ya mashitaka, washitakiwa hao ni Shabani Ngurangwa (56), Shabani Tano au...
10 years ago
GPLWAFUASI WA CUF WAPATA DHAMANA
Watuhumiwa wakisubiri kupewa dhamana katika chumba cha kusikiliza kesi. Wafuasi wa CUF wakishuka kwenye ngazi kutoka katika chumba cha kusikiliza kesi baada ya kupewa dhamana.…
10 years ago
Michuzi24 Sep
KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI
UPANDE wa Jamhuri katika kesi inayowakabili wafuasi watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) umedai mahakamani kwamba washtakiwa hao walikiuka amri halali ya Jeshi la Polisi baada ya kuvuka kizuizi kilichowekwa eneo la Makao Makuu ya jeshi hilo.
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...
10 years ago
KwanzaJamii22 Sep
Wafuasi CCM, CUF watwangana Dar
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akilaani kupigwa kwa waandishi wa habari na askari polisi wakati Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe alipokuwa akihojiwa makao makuu ya jeshi hilo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Habari na Uchaguzi wa CUF, Shaweji Mketo.
Dar es Salaam. Wafuasi wa CCM na CUF jana walitwangana makonde wakigombea Uwanja wa...
10 years ago
Mwananchi30 Jan
Wafuasi 30 wa CUF wapata dhamana Kisutu
Wafuasi 30 wa Chama cha Wananchi CUF wanaokabiliwa na   mashtaka matatu ya kula njama na kukaidi amri halali ya polisi na kufanya maandamano katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wameachiwa huru baada ya kukamilisha masharti ya dhamana waliyopewa.
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wafuasi CCM,CUF watwangana Dar
Wafuasi wa CCM na CUF jana walitwangana makonde wakigombea Uwanja wa Buguruni Chama ili kufanya mkutano wa hadhara.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania