Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMATI WA WAFUASI WA SHEIKH PONDA WAFURIKA MAHAKAMANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiwa nje ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro kusubiri kesi ya kiongozi huyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAFUASI WA SHEIKH PONDA WASWALI BARABARANI WAKATI KESI IKIENDELEA MKOANI MORO

Wafuasi wa Sheikh Ponda wakiswali sala ya saa 7 leo mchana kwenye barabara iliyo nje ya Mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa Mkoa wa…

 

10 years ago

GPL

SHEIKH PONDA ANYIMWA DHAMANA MORO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi ya Mkoa wa Morogoro imemnyima dhamana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa katika kesi yake ya jinai namba 128 ya mwaka 2013 leo. Kesi hiyo imesikilizwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Marry Moyo ambaye amesema amepokea hati ya kumfutia dhamana Sheikh Ponda kutoka kwa Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP) kwa mamlaka aliyonayo hivyo yeye hana mamlaka ya kuikataa hati hiyo. Kesi...

 

9 years ago

GPL

MAHAKAMA MORO YAAHIRISHA HUKUMU YA SHEIKH PONDA

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Morogoro, leo imeahirisha kutoa hukumu katika kesi ya jinai Na.128/2013 inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda. Hukumu hiyo imeahirishwa hadi Novemba 18, mwaka huu baada ya Hakimu Mkazi Mary Moyo aliyetarajiwa kutoa hukumu hiyo kuwa na matatizo ya kiafya. Taarifa hiyo imeonekana kuwaudhi watu...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheikh Ponda agoma kwenda mahakamani, abembelezwa

Kiongozi wa Taasisi ya Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Ponda Issa Ponda, jana aligoma kufikishwa mahakamani kutoka mahabusu ya Gereza la Mkoa wa Morogoro, akidai kuchoshwa kuhairishwa kwa kesi yake kila anapofikishwa mahakamani.

 

10 years ago

GPL

KESI YA SHEIKH PONDA MORO YAPIGWA TENA KALENDA

KWA mara nyingine tena, kesi inayomkabili kiongozi wa Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo imeendelea kupigwa kalenda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro. Mbali na kundi la wafuasi wa Sheikh Ponda kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Morogoro waliojazana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mkoa wa Morogoro leo asubuhi kusikiliza kesi ya uchochezi inayomkabili kiongozi wao huyo...

 

11 years ago

GPL

UMATI WAFURIKA TAMASHA LA COCA COLA HUKO COCO BEACH DAR

  Msanii Vannesa Mdee au Vee Money akioneha ujuzi wake stejini. Joh Makini akiwapagawisha mashabiki katika viwanja vya Coco Beach.    Mashabiki wakionyesha kufurahishwa na burudani zilizokuwa zikitolewa na baadhi a…

 

9 years ago

Dewji Blog

Mkutano wa Kihistoria tena Mbeya, Edward Lowassa afunika umati wafurika!


Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akimnadi kwa wananchi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu”, katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe, Jijini Mbeya leo Oktoba 18, 2015.


Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Mbeya mjini katika viwanja vya Rwanda-nzovwe jijini Mbeya leo Jumapili 18/10/2015,akiomba kura pamoja na kunadi sera...

 

9 years ago

Dewji Blog

TIGO yampokea Msanii Diamond, Umati mkubwa wafurika kumlaki jijini Dar

2

Meneja wa Tigo music, Hamza Balla akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kumpokea msanii wa kizazi kipya Nassib Abdul Diamond (kushoto)mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Pembeni kulia Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar.

3

Msanii Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kumpokea  mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Wengine kushoto...

 

11 years ago

Mwananchi

Moro wafurika kujifunza utengenezaji bidhaa

Zaidi ya wakazi 1250 wa Morogoro na vitongoji vyake wamejitokeza kushiriki mafunzo ya ujasiriamali na utengenezaji wa bidhaa yanayotarajiwa kufanyika hivi karibuni mkoani humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani