Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafuasi ‘wafunika’ Jangwani

Maelfu ya wanachama na mashabiki wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walifurika kushuhudia tukio la kihistoria la kusainiwa kwa makubaliano ya kushirikiana kwenye Viwanja vya Jangwani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

CCM WAFUNIKA JANGWANI, DAR

Umati wa wanachama wa CCM wakiwa katika mkutano huo. Screen kubwa iliyofungwa jukwaani kwa ajili ya kutoa matukio live kwa walio mbali. Bendera za CCM zikiwa zimezunguka uwanjani hapo.…

 

9 years ago

Habarileo

Mabinti Centre wafunika Dar

WANAWAKE waliougua maradhi ya fistula hivi karibuni walionesha uwezo wao kwenye onesho la ubunifu wa mitindo ya vifaa vya mavazi ya asili ya Kiafrika la Mabinti Fashion Show katika kituo cha Mabinti , Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI WAFUNIKA ZANZIBAR

MFALME wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa na mpenzi wake Zarinah Hassan 'The Boss Lady' Zanzibar. Wakiendelea kufanya yao.…

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI WA GLOBAL TV ONLINE WAFUNIKA

Kutoka kushoto: Wasanii Dk. Cheni, Bi. Mwenda, Profesa Jay na Wema Sepetu wakishiriki kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa GlobaL TV Online jana. Wema Sepetu na Profesa Jay wakifunua vitambaa wakati wa uzinduzi wa GlobaL TV Online jana katika ofisi za Global Publishers Ltd.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ya Moto Band wafunika sherehe ya Mh. Temba

KUNDI la muziki wa kizazi kipya nchini, Ya Moto Band lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam, juzi walikuwa gumzo katika sherehe ya kumpongeza mkali wa muziki huo, Amani...

 

10 years ago

GPL

KINANA, NAPE WAFUNIKA JIJINI MWANZA

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya jana kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza.  Katibu wa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chege, Mh. Temba wafunika Coco Beach

KATIKA kusherehekea Sikukuu ya Pasaka, wasanii Chege Chigunda ‘Mtoto wa Mama Saidi’ na Mhe. Temba, wametoa burudani ya aina yake kwa wapenzi na mashabiki wa muziki katika tamasha maalumu la...

 

11 years ago

GPL

BONGO MUVI WAFUNIKA KWA MAUNO

Stori: Shakoor Jongo na Emelder Tarimo MASTAA  wa kike katika tasnia ya filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’, Salma Salim ‘Sandra’ na Rose Ndauka juzi walikuwa kivutio kwa wananchi waishio maeneo ya Kinondoni jijini Dar baada ya kushindana kuzungusha nyonga. Staa wa filamu Bongo Sabrina Rupia ‘Cathy’. Mastaa hao walifanya tukio hilo katika sherehe za kuwasimika ukamanda wa vijana Tawi la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapacha Watatu wafunika Nyama Choma

BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu imewapagawisha na kukonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika tamasha la Heineken Nyama Choma lililofanyika mwishoni mwa wiki baada ya kupiga shoo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani